Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,433
- 829,785
- Thread starter
- #121
Noted n appreciated for a constructive challengeYes Sir, naongelea uumbaji wa mungu uliopijia mfano kuwa duniani iliumbwa kwa siku 6 na ya 7 ni mapumziko. Sasa hizo siku 6 ni in regard ya haya masaa tunayotumia hapa duniani ?
Kati ya time na uumbaji kipi kilianza ikiwa tunatumia 24 hrs as the reference ya siku moja ?
Do we even know kuwa hizi 24hours was created by human beings baada ya kuona mzunguko wa dunia kwenye muhimili wake , where do we draw the line ?
Thank you !





