Hatua sita za uumbaji

Hatua sita za uumbaji

mshana usiwe na shaka siku moja kwa mungu ni miaka elfu na miaka elfu yetu kwake ni siku moja.hebu fikri ndoto unaanza kitu unakikuza kinakuwa kikubwa kwa dk mbili tu. kitu ambacho ktk maisha haris wengne ni abstract. hivyo uumbaji wa siku sita ni wa uwezo wa ajabu ambao sisi tuliozoea kuona ghorofa,reli, flyover ,pipeline project zinajengwa miaka ming ndo tunatilia mashaka na kukubaliana na wana sayans kuwa dunia iliumbwa miaka billions nying iliyopita.
ikawa usiku ikawa mchana siku ya kwanza ikaisha.hayo maneno ya cjui siku moja ni miaka 1000 umeyanukuhuu wapi? tupe andiko au link tuone.mimi naamini usiku na mchana ndio siku moja kama ilivyoandikwa
 
namba tatu umesema huna uhakika hizo siku kama ndio hizi.nadhani tungejikita kwenye ''IKAWA USIKU IKAWA MCHANA SIKU YA....IKAISHA.maana yake siku ni usiku na mchana
 
Sik

Siku sita au saba au tatu ni namba zenye maana fulani tu.Haimaanishi Mungu alitumia kweli siku sita.Tafsiri halisi ni kwamba Mungu alichukua muda kadhaa kabla ya kukamilisha uumbaji wa kila kitu na hatimaye kufanya tathimini(kupumuzika).
nani kasema sita? ina maana alidanganya? ni sahihi kuweka specific fugure bila kuwa na uhakika ili tu eti uweke maan flani? mungu alisingiziwa?
 
Biblia inasema kwa mungu miaka 1000 ni sawa siku moja na siku 1 ni sawa na miaka 1000.

Na kwanini ww mshana usiseme mungu aliuumba ulimwengu kwa miaka 6000 na miaka 1000 akapumnzika?
umepata wapi hizi data
 
namba tatu umesema huna uhakika hizo siku kama ndio hizi.nadhani tungejikita kwenye ''IKAWA USIKU IKAWA MCHANA SIKU YA....IKAISHA.maana yake siku ni usiku na mchana
Hii ni tafsiri ya kibinadamu ambao ufahamu wao umejaa limitations
 
e96366a9f4867cbc87265de50df6a020.jpg
vema nikaitolea maelezo hii picha kabla haijaleta mushkeli, hii ni hatua kati ya hatua ya sita na hatua mpya ya uumbaji, kati ya kuoza na kuingia kwenye mpango wa matumizi mengine chuma chakavu nk au chupa ya maji nk nk
Kiroho ni hatua ya mlango wa sita kuingia wa saba
e96366a9f4867cbc87265de50df6a020.jpg
vema nikaitolea maelezo hii picha kabla haijaleta mushkeli, hii ni hatua kati ya hatua ya sita na hatua mpya ya uumbaji, kati ya kuoza na kuingia kwenye mpango wa matumizi mengine chuma chakavu nk au chupa ya maji nk nk
Kiroho ni hatua ya mlango wa sita kuingia wa saba
 
hahahaha! mkuu fanya mpango tufungue kanisa usajili niachie mimi.maana kama naiona karama ya uumbaji kwakoo!!
[HASHTAG]#havingfan[/HASHTAG]
 
ikawa usiku ikawa mchana siku ya kwanza ikaisha.hayo maneno ya cjui siku moja ni miaka 1000 umeyanukuhuu wapi? tupe andiko au link tuone.mimi naamini usiku na mchana ndio siku moja kama ilivyoandikwa

2 Petro 3:8
Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.
 
View attachment 362038Najua fika kwamba wengi watadhani ni ule uumbaji wa Kimungu uumbaji ule wa dunia na kila kilichopo

Hapa nazungumzia uumbaji wa uundaji japo kuna mfanano wa ajabu kwamba dunia iliumbwa kwa siku sita na ya saba ikawa mapumziko...lakini ukija kuangalia hiyo siku ya saba Aliyepumzika ni Mungu na si vile alivyoumba

Kimsimgi uumbaji hauna mwisho kazi ya kuumbwa inapokamilishwa na muumbaji, kilichoumbwa huanza safari ya kujiendeleza uumbaji...sasa kabla hatujafika huko hebu tuone hatua hizi sita za uumbaji

1. Hatua ya kwanza ni wazo... binadamu hushauriana na nafsi yake na ufahamu wake! Hapa ni yeye pekeyake baadae huwajulisha wengine nje ya ufahamu wake na nafsi yake au hufanya mwenyewe, dhana ya umoja na wingi! Mungu akasema na 'tuumbe mtu kwa mfano wetu'

2. Matayarisho: wazo linapokubalika matayarisho huanza ya vifaa ya pesa ya watu ya eneo nk nk...Mungu yeye alikwisha andaa bustani ya eden

3. Uumbaji: baada ya matayarisho yote muhimu kukamilika kazi ya uumbaji/uundaji huanza hapa Inategemea na ukubwa au udogo wa kitu , uundaji wa meli ni tofauti na uundaji wa kitanda, Mungu alitumia siku sita kuumba ulimwengu na kuunda kila kilichopo (siku sita hizi hatujui kwa hakika kama ni hizi tunazozijua ama la)

4. Kitu kipya hutokea baada ya uumbaji kukamilika, hiki ni kitu kipya baada ya kukamilika kazi ya uumbaji, kamwe hakiwezi kuwa kipya tena daima dawamu, wala huwezi kurudia ule mchakato hata iweje....kwamba kilichoumbwa kimeumbwa na ndio maana hata Mwenyezi Mungu baada ya uumbaji ule na maudhi aliyofanyiwa na nyoka kule mbinguni na Adam na Eva kule Eden hakuweza tena kuwateketeza au kuwarudisha alikowatoa au kutengua uumbaji wa dunia na kila kilichopo

5. Uchakavu: chochote kipya kitapotoka kuundwa huanza kuchakaa hapo hapo hata kama hakitatumika kitachakaa tuu....mtoto anapozaliwa amezaliwa huwezi kumrudisha tena tumboni mwa mama yake

6. Mwisho wa matumizi, kifo kuoza na kuanza mchachato mwingine wa uumbaji...kwamba ipende unavyoipenda gari yako au nyumba yako au nguo nk..kila siku inayopita ndio inaelekea kaburi la uchakavu, au chuma chakavu uzee na hatimaye kifo na kuwa recycled tayari kwa matumizi mengine mapya aidha kwa mtindo ule ule au(reborn) au kwa matumizi mengine (reincarnation)

Kwahiyo uumbaji hauna mwisho vitu vinaundwa vinatumika vinazeeka kuharibika na kutumiwa kwa matumizi mengine

Upende mwili wako uupendavyo lakini kamwe hutakuwa wewe wa jana na wa sasa hutakuwa wewe wa kesho

Tunakuwa na mapenzi yaliyopitiliza kwenye vitu...vile tuvipendavyo sana hatutaki vituondoke, na hutumia hata nguvu za ziada kuvihodhi, vile tusivyovipenda tunataka vituondoke haraka...ni kanuni ya kiasili ya binadamu

Hakuna kidumucho milele, hatua sita za uumbaji huzunguka kwenye gurudumu lisilo na mwisho...

KUMBUKA: ZIJAPOPITA SIKU ZA FURAHA USIHUZUNIKE BALI UFURAHI KWAKUWA ZILIKUWEPO

Ishi kwa tafakuri kuu...Alamsiki...!!!
Kiongozi kuna neno hua nalisikia mara kwa mara ila sio msomaji mzuri sana wa bible unasema " miaka elfu moja kwa Mungu ni kama siku moja " kila nikifikiria uumbaji wa hizo siku sita huwa na shawishika kuingiza hiyo terminology: kwa kuwepo duniani binadamu tumekuja ku appear siku za karibuni ukilinganisha na dunia ilipo anzia
 
View attachment 362038Najua fika kwamba wengi watadhani ni ule uumbaji wa Kimungu uumbaji ule wa dunia na kila kilichopo

Hapa nazungumzia uumbaji wa uundaji japo kuna mfanano wa ajabu kwamba dunia iliumbwa kwa siku sita na ya saba ikawa mapumziko...lakini ukija kuangalia hiyo siku ya saba Aliyepumzika ni Mungu na si vile alivyoumba

Kimsimgi uumbaji hauna mwisho kazi ya kuumbwa inapokamilishwa na muumbaji, kilichoumbwa huanza safari ya kujiendeleza uumbaji...sasa kabla hatujafika huko hebu tuone hatua hizi sita za uumbaji

1. Hatua ya kwanza ni wazo... binadamu hushauriana na nafsi yake na ufahamu wake! Hapa ni yeye pekeyake baadae huwajulisha wengine nje ya ufahamu wake na nafsi yake au hufanya mwenyewe, dhana ya umoja na wingi! Mungu akasema na 'tuumbe mtu kwa mfano wetu'

2. Matayarisho: wazo linapokubalika matayarisho huanza ya vifaa ya pesa ya watu ya eneo nk nk...Mungu yeye alikwisha andaa bustani ya eden

3. Uumbaji: baada ya matayarisho yote muhimu kukamilika kazi ya uumbaji/uundaji huanza hapa Inategemea na ukubwa au udogo wa kitu , uundaji wa meli ni tofauti na uundaji wa kitanda, Mungu alitumia siku sita kuumba ulimwengu na kuunda kila kilichopo (siku sita hizi hatujui kwa hakika kama ni hizi tunazozijua ama la)

4. Kitu kipya hutokea baada ya uumbaji kukamilika, hiki ni kitu kipya baada ya kukamilika kazi ya uumbaji, kamwe hakiwezi kuwa kipya tena daima dawamu, wala huwezi kurudia ule mchakato hata iweje....kwamba kilichoumbwa kimeumbwa na ndio maana hata Mwenyezi Mungu baada ya uumbaji ule na maudhi aliyofanyiwa na nyoka kule mbinguni na Adam na Eva kule Eden hakuweza tena kuwateketeza au kuwarudisha alikowatoa au kutengua uumbaji wa dunia na kila kilichopo

5. Uchakavu: chochote kipya kitapotoka kuundwa huanza kuchakaa hapo hapo hata kama hakitatumika kitachakaa tuu....mtoto anapozaliwa amezaliwa huwezi kumrudisha tena tumboni mwa mama yake

6. Mwisho wa matumizi, kifo kuoza na kuanza mchachato mwingine wa uumbaji...kwamba ipende unavyoipenda gari yako au nyumba yako au nguo nk..kila siku inayopita ndio inaelekea kaburi la uchakavu, au chuma chakavu uzee na hatimaye kifo na kuwa recycled tayari kwa matumizi mengine mapya aidha kwa mtindo ule ule au(reborn) au kwa matumizi mengine (reincarnation)

Kwahiyo uumbaji hauna mwisho vitu vinaundwa vinatumika vinazeeka kuharibika na kutumiwa kwa matumizi mengine

Upende mwili wako uupendavyo lakini kamwe hutakuwa wewe wa jana na wa sasa hutakuwa wewe wa kesho

Tunakuwa na mapenzi yaliyopitiliza kwenye vitu...vile tuvipendavyo sana hatutaki vituondoke, na hutumia hata nguvu za ziada kuvihodhi, vile tusivyovipenda tunataka vituondoke haraka...ni kanuni ya kiasili ya binadamu

Hakuna kidumucho milele, hatua sita za uumbaji huzunguka kwenye gurudumu lisilo na mwisho...

KUMBUKA: ZIJAPOPITA SIKU ZA FURAHA USIHUZUNIKE BALI UFURAHI KWAKUWA ZILIKUWEPO

Ishi kwa tafakuri kuu...Alamsiki...!!!

Mshana Jr hizi siku zimekuwa counted based on what Mkuu? Kama tuna count based on 24 hours , Man this is an issue. Kwa sababu Time hii tunayoitumia sisi ni abstract concept created by us ili itusaidie kupanga shughuli zetu hapa duniani.

Would you please elaborate man hizi siku mnazo sema uumbaji ulikuwa siku 6 na ya 7 ni mapumziko, what do you really mean siku 6 and 7 ? What is the difference between time and creation? Was time also created? When ?

Thank you Mshana !
 
Mshana Jr hizi siku zimekuwa counted based on what Mkuu? Kama tuna count based on 24 hours , Man this is an issue. Kwa sababu Time hii tunayoitumia sisi ni abstract concept created by us ili itusaidie kupanga shughuli zetu hapa duniani.

Would you please elaborate man hizi siku mnazo sema uumbaji ulikuwa siku 6 na ya 7 ni mapumziko, what do you really mean siku 6 and 7 ? What is the difference between time and creation? Was time also created? When ?

Thank you Mshana !
Nitacome
 
Mshana Jr hizi siku zimekuwa counted based on what Mkuu? Kama tuna count based on 24 hours , Man this is an issue. Kwa sababu Time hii tunayoitumia sisi ni abstract concept created by us ili itusaidie kupanga shughuli zetu hapa duniani.

Would you please elaborate man hizi siku mnazo sema uumbaji ulikuwa siku 6 na ya 7 ni mapumziko, what do you really mean siku 6 and 7 ? What is the difference between time and creation? Was time also created? When ?

Thank you Mshana !
Based on these normal days we are using everyday.. Haiwezekani kuwa tofauti kwakuwa hata uumbaji ninaongelea ni wa vitu hivi hivi tunavyotumia na vinaumbwa ndani ya hayo masaa... Hebu niambie kuhusu hiyo abstraction, au kwakuwa nilichomekea na ule uumbaji wa Mungu?
 
2 Petro 3:8
Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.
yani anaweza kufanya mambo mengi ambayo binadamu angechukua miaka mingi(100,1000,10000) kwa siku moja,au unaweza ukaomba jambo dogo tu la siku moja akajibu baada ya miaka mingi.hope inaendana na ule msemo wa hawahi wala hachelewi yeye ni mungu wa wakati.
 
Based on these normal days we are using everyday.. Haiwezekani kuwa tofauti kwakuwa hata uumbaji ninaongelea ni wa vitu hivi hivi tunavyotumia na vinaumbwa ndani ya hayo masaa... Hebu niambie kuhusu hiyo abstraction, au kwakuwa nilichomekea na ule uumbaji wa Mungu?

Yes Sir, naongelea uumbaji wa mungu uliopijia mfano kuwa duniani iliumbwa kwa siku 6 na ya 7 ni mapumziko. Sasa hizo siku 6 ni in regard ya haya masaa tunayotumia hapa duniani ?

Kati ya time na uumbaji kipi kilianza ikiwa tunatumia 24 hrs as the reference ya siku moja ?

Do we even know kuwa hizi 24hours was created by human beings baada ya kuona mzunguko wa dunia kwenye muhimili wake , where do we draw the line ?

Thank you !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom