Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,440
- 829,800
- Thread starter
- #81
Ndio kitu gani hiiANALOGY OF THE WATCH-MAKER!!
Hii ni halisia kabisa yaani ya maisha ya mwanadamu katika mwili wa damu na nyama....zijapopita siku za furaha tusihuzunike bali tufurahi kwakuwa zilikuwepo na zitarudi tena...hakuna kidumucho milele iwe furaha ama huzuni kushuka au kupanda, kukwama au kufanikiwa. ...
Na akaongezea kuwa "Baba yangu anafanya kazi hata sasa"Kwamba alimaliza kazi ya uumbaji siku ya sita... tunafuata kuitii hii siku na kuienzi kwakuwa yeye alipumzika, lakini leo hii hata sasa kuna watu wana majukumu ambayo hawapaswi kupumzika, kumbuka Yesu Kristo aliponya siku ya Sabato na hii hatuwezi kusema kuwa kaitangua torati
Kwa habari ya kiroho, usiku na mchana ni habari ingine tofsuti sana na hivi tunavyo hesabu masaa, umemjibu vema, it was timeless. Maana alipoiumba nuru, akaitenganisha na giza kisha akaiita nuru mchana na giza usiku. Tangu hapo ikawa ikawa jioni ikawa asubuhi siku moja.It was timeless by then
Jamaa anajua kukwepa maswali yanatoweza kuleta mkanganyiko mpaka raha yaani!Imeandikwa alipumzika, ila haijatolewa ufafanuzi kwanini alipumzika
Msaidie kujibuJamaa anajua kukwepa maswali yanatoweza kuleta mkanganyiko mpaka raha yaani!
Unadhani yeye anayekuwepa kujibu ni mjinga?Msaidie kujibu