Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 3,877
- 3,675
- Thread starter
- #61
Wanawake huwa wanakawaida ya kuringa sana ukimtokea hata kama alikuwa anakulia mingo, ili tu uone yeye ni wa muhimu sana kwako akuzubaishe kidogo ili kidume upapalike sana . Hivyo ndo nafanyaga na Mimi mwanamke akijitia ananipenda akapiga sound na mzungusha kweli kweli , ili naye aonje joto ya jiwe jinsi amabayo tunatesekaga kuwapata
Huyu alijigaragaza kitandani wee eeee mi napiga book tu tena msuli unapanda vzr sana
Lkn pia nikiwa sina mawazo ya kusasambula siwezi kudindishuuuuu
Badaye nikaanza kumcheka tu anajibiringisha tu kama gunia lilowemwa karunguyeye kwa ndani hata zile movie alizoomba kucheki anacheki hii anatoa anaweka hii ila usiombe kumuona mwanamke amepandwa ngenye yaani anaweza kubutuliwa na mtu yeyote aki ya Nani nilibaki nacheka tu maana havikuwa vituko hivo
Huyu alijigaragaza kitandani wee eeee mi napiga book tu tena msuli unapanda vzr sana
Lkn pia nikiwa sina mawazo ya kusasambula siwezi kudindishuuuuu
Badaye nikaanza kumcheka tu anajibiringisha tu kama gunia lilowemwa karunguyeye kwa ndani hata zile movie alizoomba kucheki anacheki hii anatoa anaweka hii ila usiombe kumuona mwanamke amepandwa ngenye yaani anaweza kubutuliwa na mtu yeyote aki ya Nani nilibaki nacheka tu maana havikuwa vituko hivo