Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,967
- 55,069
Aisee we jamaa unachekesha sana
Aisee we jamaa unachekesha sana
Ianzishe tu mkubwaKuna watu wanastahili kutunukiwa vyeti vya upumbavu uliokithiri.
Wafanyiwe na sherehe, wakabidhiwe vyeti kwa msafara wa matarumbeta!
Mfano: Bachelor degree in extraordinary foolishness and associated outstanding stupidity!
Acha nilale mimi.
Ulitaka iendeleeNdio imeishia hapo?
Kama kweli upo chuo kikuu basi kesho inabidi nimpelekee huu uzi Ndalichako..
Uharo lkn ushaelewa maana ya threadJf bhana kila mtu amesoma chuo, ila huo uandishi sasa kama uharo waa bata.
Umanile shene ngoshaWasukuma watu wema sana
ulizingua mkuu demu kajitupa kitandani ukaacha daah yani kutafuna ulishindwa hata kumumunya daah umezingua sio uwanaume huoo
Siyo lazima mkuu usomeUme unaounguza maneno kama hayo ambayo hayahusuani na stori yako....unatupa uvivu wasomaji
Angalau nimekupa kumbukumbuBaada ya kusoma uzi wako nimewakumbuka wahenga
Penye miti mingi hakuna wajenzi.
upele umemfika asiye na kucha.
Pole sanaDaah najuta kuja hapa!!
Niupeleke wapi sasa mkulu?Toa uupuzi wako hapa kwanza uandishi wa hovyo kama akili yako.
Aheri umechekaWavulana wa mikoani bwana full vichekesho
Hivi chaputa mnashida ganiHabari zenu wakuu
Ni miaka kadhaa wa kadha imepita , wakati niko chuo nilikuwa nimepanga sehemu furani hivi , Sasa huyo jamaa mmiliki wa nyumba alikuwa na shemeji zake wadogo wadogo. Binti mmoja akawa amepotea mi sikujua kaenda wapi . kumbe alikuwa anafanya kazi za ndani sehemu furani hivi wakati anatoka alikuwa ni binti mdogo ndo vititi vinaanza kuchomoza tu yaani hata kumfikiria tu huwezi.
Mwaka mmoja hivi na nusu akarudi kwa shemeji yake , salaaale aki ya Nani biti alikuwa ameumuka kama andazi lokozwa hamila , amekuwa Bonge balaa .
Siku hiyo akajiganya amenisahau huku na mimi anajiuliza hivi ni yeye au dada yake! walau
Akiwa na dada yake akauliza hivi huyu ndo nkola au namfananisha sister ake akasema ni yeye kwani vipi !? Akamwambia mpaka leo bado yupo tu! dada akeakamwambia ulitaka afe akasema no ila.....dada yake kamwuliza ila nini! akavunga akasema achana naye kwanza anatuchora tu.
Akipita anatingisha msawanda na hivi alijaliwa Acha tu . shida yangu msabwanda sinaga hamu nayo, Mara aniulize nimependeza? Majibu yangu mabovu siku zote kama ungependeza ungekuwa umeshaolewa ! Na yeye anasema mi mrembo wanaume wananiogopa . nabaki nacheka tu
Alikuwa ananivizia mno kwenye bomba napoenda kuteka maji atakuja yaani we nkola mbaya sana ! Namuuliza ubaya wangu uko wapi ? Anapaparika kwanza wewe dogo sana nakuburuza mpaka hutatembea kabisa jibu langu kubwa lilikuwa moja tu" wewe bado mdogo nitakutoa ulimi bure" kinajifaragua huniwezi weeee
Siku moja kikaja geto kikavua dala kikaingiza ndani mwanaume napiga msuli wa UE TV inaendeleza mziki huku lap top iko kitandani na makaratasi zaguli zote yaani hutapenda. Kikajitupa pwaaaaa! Kwa kitanda kikaanza nipe tope niangalie video za kuto... M..bana nkakiambia mi MZEE hayo mambo siyawezi haina hayo kinadai nikipe nikakipa kikaanza kucheza picha zilizokuwemo .
Mara ooooh nkola hivi unanionaje nkakiambia kawaida sana hata kudindish siwezi we siyo levo yangu
Hahahah Acha kijishebedue
Unadhani kila mtu chapita mkuluHivi chaputa mnashida gani
.....iendeleeeeeUtoto kazi.....