korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 659
Makubwa!!!Najua unayo Jay ila umenifanyia makusudi
Kumbuka kua ni Mbegu yangu na yai lako ndivo vimetupatia binti mrembo sana.
Maisha yanabadilika na vitu vinabadilika, mpaka imefikia wakati wa kukuomba unikopeshe utambue yakwamba nmekwama.
Mimi sio kwamba nilikua namktaa mtoto, ila kosa nipale mazingira yako ulonionyesha yakaniondolea amani,mpaka tunapima ndipo nikawa na Uhakika wa Mwanangu.
Sio kwamba sitak kuhudumia, wewe wajua kipato chang na majukum yangu nandio maana kidogo nilichopata nilikitoa, na zaidi ya yote nmekua kila siku nakuombea Wewe na Mwanangu ili muwe na maisha yenye afya njema
Nataman kuona mwanangu namsomesha naanapata huduma bora, ivo nikiwa kama mwanadam mkosaj, tambua tu ninampenda sana Mwanangu, na ninakupenda wewe nakukuheshim kwa kunizalia mtoto mzuri.
Jay, Hata ivo Adhabu yoyote utakayoamua kunipa kama hukum nitaipokea ila kumbua kua NINAKUPENDA WEWE NA MWANANGU.