The Coin Man
JF-Expert Member
- Jan 2, 2025
- 1,453
- 1,842
Ako na top scorer anahaibika vipi.Apumzike sasa,kinachofuata ni kuaibika tu...
Sporting Lisbon next move
Ako na top scorer anahaibika vipi.Apumzike sasa,kinachofuata ni kuaibika tu...
Ba ako hachezi kanenepa kwani anakula starch kama ww eti anamshauri Ronaldo aina ya menuCR7 akistaafu soka atanenepeana na ndo utakuwa mwanzo wa magonjwa ya ovyo.
Nashauri aendelee kucheza kama Kuna timu inamhitaji maana kwa timu za kati bado jamaa anasumbua sana.