Hatma ya ronaldo

Hatma ya ronaldo

Davives

Member
Joined
Feb 2, 2024
Posts
86
Reaction score
106
Wakuu Jana Christian Ronaldo katoa tamko baada ya kutamatika mechi kati ya timu yake ya Al nassri na Al fateh ambapo Al nassri alilala 3-2
Kauli Ile inaonyesha kuwa ni mwisho WA maisha ya nguli huyo pale al nassri je wapi tunatazamia kumuona akienda Kukipiga baada ya kuondoka aL nassri na sisi Kam wadau WA soka tunapenda kumshauri Nini au tuseme imetosha
Maan football haimdai akiwa kama 2nd goat🤣🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • 1748330816714.jpg
    1748330816714.jpg
    373.8 KB · Views: 18
Al Nasr team la hovyo kabisa kuwahi kutokea !!
Namshauri astaafu soka sio lazima maana uwepo wake uwanjani anawapoteza tu wenzake
Kuna game hakuwepo na Al khadood kama sikosei wakishinda goli za kusaza Kila mechi ambayo Ronaldo yupo ushindi ni WA kusua sua sana
 
Al Nasr team la hovyo kabisa kuwahi kutokea !!
Namshauri astaafu soka sio lazima maana uwepo wake uwanjani anawapoteza tu wenzake
Kuna game hakuwepo na Al khadood kama sikosei wakishinda goli za kusaza Kila mechi ambayo Ronaldo yupo ushindi ni WA kusua sua sana
Mimi nashauri kama washauri wa Mbowe cc Yericko.

Acheze hadi akiwa na mkongojo akiinuliwa anapiga shuti🤣
 
Time flies mara ya kwanza namuona huyu jamaa it was 2006 katika world cup I think muda unamwambi inatosha
 
Fi
Wakuu Jana Christian Ronaldo katoa tamko baada ya kutamatika mechi kati ya timu yake ya Al nassri na Al fateh ambapo Al nassri alilala 3-2
Kauli Ile inaonyesha kuwa ni mwisho WA maisha ya nguli huyo pale al nassri je wapi tunatazamia kumuona akienda Kukipiga baada ya kuondoka aL nassri na sisi Kam wadau WA soka tunapenda kumshauri Nini au tuseme imetosha
Maan football haimdai akiwa kama 2nd goat🤣🤣🤣🤣🤣
Akiwa kama 1st GOAT
 
Nashauri aendelee kukipiga, akistaafu boli ndiyo mwanzo wa Kuota Kitambi na kukaribisha Pressure na Kisukari Kwa pamoja

Akishindwa aje hata huku Bongo, Simba tunaweza kumsajili kwaajili ya kukuza biashara na brand ya Timu
 
Nashauri aendelee kukipiga, akistaafu boli ndiyo mwanzo wa Kuota Kitambi na kukaribisha Pressure na Kisukari Kwa pamoja

Akishindwa aje hata huku Bongo, Simba tunaweza kumsajili kwaajili ya kukuza biashara na brand ya Timu
ni sawa na ww kumuajiri bharesa unaweza kumlipa??
 
Awe na kiasi naye, akalee familia yake na yule mke wake...
Au anaogopa life nje ya mpira??
 
ni sawa na ww kumuajiri bharesa unaweza kumlipa??
Kuliko kuachia mwili na kunenepa hovyo, bora aendelee kucheza

Hata hivyo kuhusu yeye kuja kucheza Bongo nilikuwa natania

Najua Kwa hulka yake, anaweza kwenda Marekani kumalizia soka lake
 
Nashauri aendelee kukipiga, akistaafu boli ndiyo mwanzo wa Kuota Kitambi na kukaribisha Pressure na Kisukari Kwa pamoja

Akishindwa aje hata huku Bongo, Simba tunaweza kumsajili kwaajili ya kukuza biashara na brand ya Timu
jamaa nimependa uandishi na mawazo yako yani hata chizi anakuelewa

kwanza ni short and clear yani umejibu swali na madhara yake ikiwa atafanya hivyo pili ukashauri nini afanye
 
CR7 akistaafu soka atanenepeana na ndo utakuwa mwanzo wa magonjwa ya ovyo.

Nashauri aendelee kucheza kama Kuna timu inamhitaji maana kwa timu za kati bado jamaa anasumbua sana.
 
jamaa nimependa uandishi na mawazo yako yani hata chizi anakuelewa

kwanza ni short and clear yani umejibu swali na madhara yake ikiwa atafanya hivyo pili ukashauri nini afanye
Barikiwa Mkuu! 🙏🙏
 
Wakuu Jana Christian Ronaldo katoa tamko baada ya kutamatika mechi kati ya timu yake ya Al nassri na Al fateh ambapo Al nassri alilala 3-2
Kauli Ile inaonyesha kuwa ni mwisho WA maisha ya nguli huyo pale al nassri je wapi tunatazamia kumuona akienda Kukipiga baada ya kuondoka aL nassri na sisi Kam wadau WA soka tunapenda kumshauri Nini au tuseme imetosha
Maan football haimdai akiwa kama 2nd goat🤣🤣🤣🤣🤣
Ronaldo anarudi Ulaya. Kule Al Nasri kuna washambuliaji wachoyo wa assist wanamchukulia poa Ronaldo akiwemo Mane na Duran

Wakati yupo Madrid, Ronaldo alisema atastaadu soka akiwa na miaka 40 katika klabu ya Madrid.

Kwa jinsi Ronaldo alivyo, anaweza kunyenyua simi moja tu ya kurudi Madrid ili astaafu.
 
Wakuu Jana Christian Ronaldo katoa tamko baada ya kutamatika mechi kati ya timu yake ya Al nassri na Al fateh ambapo Al nassri alilala 3-2
Kauli Ile inaonyesha kuwa ni mwisho WA maisha ya nguli huyo pale al nassri je wapi tunatazamia kumuona akienda Kukipiga baada ya kuondoka aL nassri na sisi Kam wadau WA soka tunapenda kumshauri Nini au tuseme imetosha
Maan football haimdai akiwa kama 2nd goat🤣🤣🤣🤣🤣
Apumzike sasa,kinachofuata ni kuaibika tu...
 
Time flies mara ya kwanza namuona huyu jamaa it was 2006 katika world cup I think muda unamwambi inatosha
Mi nimemuona Euro 2004 pale pale kwao Lisbon Ronaldo kacheza mpira kama ajira ya kudumu kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom