Hatma ya nchi chini ya CCM: Masikio yote Dodoma

Hatma ya nchi chini ya CCM: Masikio yote Dodoma

mnaona watu waliobobea kuelezea kitu mpaka kinasisimua
wale wa chadema (ccc)chadema cha chakavu wanaishia kusema hovyo wamepagawa
Ukitoa post,at least jaribu kuandika vizuri.Sentensi umeanza na herufi ndogo,hakuna koma wala nukta mwisho wa sentensi.Sipendi kuamini kama na wewe umemaliza shule za kata.
Any way,najaribu kutaka hata kuchangia hoja kwenye hii thread lakini nakosa hata pakuanzia.Shonza ameandika thread ya kimipasho zaidi ambayo haina hata pakushika...ila ukweli ni kwamba Dodoma patachimbika na makundi ya wakati huu ndani ya CCM ni hatari kuliko hata tishio la UKAWA kwa CCM.
WATCH THIS SPACE!
 
KANU walijiamini hivyo hivyo kuwa watatawala Kenya milele
You never know what the future holds
 
kama alivyosema mzee mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la mzalendo la chama cha mapinduzi, kuwa ccm ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"

ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa ccm ndio baba ndio mama wa nchi hii, ni ccm pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.

Ccm inakutana wiki hii mjini dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa jakaya, nani anakuwa rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa ccm ndio rais wa tanzania kwani hakuna chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.

Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa dodoma kusikiliza nini ccm inataka kuamua, ndio ni kwa sababu ccm ndio baba wa taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya familia nzima, ccm ikiamua taifa limeamua.

sasa dada kama ulijua hayo toka 2004 ulifuata nini chadema???????
 
Kama alivyosema Mzee Mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la Mzalendo la Chama Cha Mapinduzi, kuwa CCM ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"

Ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa CCM ndio Baba ndio Mama wa nchi hii, ni CCM pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.

CCM inakutana wiki hii mjini Dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa Jakaya, nani anakuwa Rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa CCM ndio Rais wa Tanzania kwani hakuna Chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa Rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.

Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa Dodoma kusikiliza nini CCM inataka kuamua, ndio ni kwa sababu CCM ndio baba wa Taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya Familia nzima, CCM ikiamua Taifa limeamua.

Japo natamani chama cha upinzani kishike madaraka mwaka huu..ukweli wa thread yako unabaki kuchoma moyo wangu!!kwani ni kweli Dodoma wataamua mustakabali wa nchi hii!!
 
Heshima ikurudie Mkuu Emma kuna watu wamekuwa kama mapunguani kusifia na kupigia makofi yale ambayo hayastahili kufanyiwa hivyo kama wizi, uzembe, ufisadi, rushwa, uongo, uhuni n.k. ambao unazidi kukithiri ndani ya chama chao cha wahuni na Serikali huku nchi ikizidi kuangamia miaka nenda miaka rudi.

Heshima yako mkuu hawa wachovu wanajua watanzania wale ni wale miaka 1995 wanajidanganya sana watanzania wa leo wanajua kila kitu wizi wao na ufisadi umesababisha huduma mbovu na ugumu wa maisha kwa kila mtanzania hiyo ishara tosha kwa watanzania kuamua kufanya mabadiliko makubwa kwa kuiondoa madarakani serikali ya ccm.
 
Last edited by a moderator:
Kama alivyosema Mzee Mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la Mzalendo la Chama Cha Mapinduzi, kuwa CCM ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"

Ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa CCM ndio Baba ndio Mama wa nchi hii, ni CCM pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.



CCM inakutana wiki hii mjini Dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa Jakaya, nani anakuwa Rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa CCM ndio Rais wa Tanzania kwani hakuna Chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa Rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.

Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa Dodoma kusikiliza nini CCM inataka kuamua, ndio ni kwa sababu CCM ndio baba wa Taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya Familia nzima, CCM ikiamua Taifa limeamua.




Halafu eti kesho unagombea ubunge unasema wanawake tunaweza angalia ulivyomtukuza Baba kwenye paragraph niliyo bold hovyo kabisa ww.
 
Macho yameelekea Dodoma nini? Huyu Juliana atoke tu. C. C. M.

Kwanini?

Siasa ni mchezo wa fursa (Kwa ccm) kadiri unapopata fursa unatakiwa kuitumia sawasawa. Mdada waw watu anajitahidi kutengeneza fursa, hata kama amechelewa anajitahidi kujitengenezea mazingira ili wale wenye macho wapate kumuona. Kama wewe umeshindwa kuitumia fursa hiyo mwache mdada wa watu azichange..!!!

Juliana Shonza, achana na hawa wapiga kelele dada yangu changamkia fursa woga wa Mtanzania ndo umasikini wake mwenyewe.!! Hivi nani anayependa umasikini..?

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Juliana Shonza

Laiti ungejua huku mtaani palivyobadilika usingesema hivyo

Laiti ungejua kuwa mtu anayeonekana ni CCM anatazamwa vipi mtaani usingesema hivyo.

Laiti ungejua kuwa huu ni mwaka 2015 na sio 2004 usingeropoka hivyo

Hata hivyo...kwa minajili ya kujifariji unaruhusiwa kuongea chochote

My dear...Times have changed.....Things are no longer at ease

Julia anavyotapika atakuwa amekunywa maji ya mvua ya mto janguani sio bure
 
.......Daaaah!! Nimekuja mbio nikahisi labda kwa mara ya kwanza tokea nimezaliwa nakuja kushuhudia we "Scraper" unaandika kitu cha maana, kumbe the same stories from the same (Chuji)-ot.
 
Watanzania sasa wamechoka na ccm na uchaguzi huu msitegemee ushindi labda kwa kuchakachua,, wapinzani wajipangetu mda wao umefika...
 
Juliana Shonza

Laiti ungejua huku mtaani palivyobadilika usingesema hivyo

Laiti ungejua kuwa mtu anayeonekana ni CCM anatazamwa vipi mtaani usingesema hivyo.

Laiti ungejua kuwa huu ni mwaka 2015 na sio 2004 usingeropoka hivyo

Hata hivyo...kwa minajili ya kujifariji unaruhusiwa kuongea chochote

My dear...Times have changed.....Things are no longer at ease
Ninakumbuka kabisa Kuwa huyu katoka CDM muda si mrefu na anaujua UKWELI sema kaamua kujitoa ufahamu. Ngoja apuyange
 
[/B]Halafu eti kesho unagombea ubunge unasema wanawake tunaweza angalia ulivyomtukuza Baba kwenye paragraph niliyo bold hovyo kabisa ww.

......mmmh!! huyo dada hata nafasi ya kupewa agombee Udiwani hapati na jinsi alivyokuwa kichwani hakuna kitu ndo kabisaaal!!. Wenzie angalau maumbo na sura zinalipa, wamepewa U-DC.
 
Jinga kweli ww, unadhani watz wa leo ni wale wa zidumu fikra za mwenyekiti eehh??

Kma mnajiamin andikisheni kwa wingi,

Mtaona mwez wa 10
 
CCM wafanye maamuzi haraka, wanamchelewesha Stephen Wasira kuwa Rais.
 
Kama alivyosema Mzee Mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la Mzalendo la Chama Cha Mapinduzi, kuwa CCM ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"

Ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa CCM ndio Baba ndio Mama wa nchi hii, ni CCM pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.

CCM inakutana wiki hii mjini Dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa Jakaya, nani anakuwa Rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa CCM ndio Rais wa Tanzania kwani hakuna Chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa Rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.

Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa Dodoma kusikiliza nini CCM inataka kuamua, ndio ni kwa sababu CCM ndio baba wa Taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya Familia nzima, CCM ikiamua Taifa limeamua.

Vyama vya upinzani haviwezi kupata hata wabunge 20?!

Sidhani hata Kikwete au Kinana wakiisikia hii kauli yako wataichukuliwa with a sense of humour.

Hakuna wakati mgumu ambao CCM imewahi kuwa nao tangu izaliwe kama 2015. Kwa mara ya kwanza CCM wanakwenda kwenye uchgauzi mkuu wakiwa hawana uhakika wa kushinda.

Shonza angalia usije kuwa unawaudhi wakubwa wako kwa kutoa statements ambazo hazina uhalisia kabisa wa mambo, wakati wakubwa wako kupata usingizi sasa ni lazima wameze PILITONI.
 
Closed Mind + Poverty = Loading error mind
 
Back
Top Bottom