MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
dah pesa mbaya sana watu mmeuza mpaka pupu..ch
ameuzaaa!!! kagawaa bureeee
dah pesa mbaya sana watu mmeuza mpaka pupu..ch
Kama alivyosema Mzee Mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la Mzalendo la Chama Cha Mapinduzi, kuwa CCM ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"
Ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa CCM ndio Baba ndio Mama wa nchi hii, ni CCM pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.
CCM inakutana wiki hii mjini Dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa Jakaya, nani anakuwa Rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa CCM ndio Rais wa Tanzania kwani hakuna Chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa Rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.
Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa Dodoma kusikiliza nini CCM inataka kuamua, ndio ni kwa sababu CCM ndio baba wa Taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya Familia nzima, CCM ikiamua Taifa limeamua.
Uyu mdada anaandika thread Akiwa chooni anaarisha uharisho wa maharagwe alokula lumumba..
HAKUNA UTEKELEZAJI MAAZIMIO KAMATI YA BUNGE SAKATA LA RICHMOND
HAKUNA UTEKELEZAJI MAAZIMIO YA KAMATI YA BUNGE SAKATA LA OPERESHENI ZA KAGASHEKI
HAKUNA UTEKELEZAJI MAAZIMIO YA KAMATI YA BUNGE SAKATA LA ESCROW
Zaidi mnafika na swaga za kugoma masharti magumu ya nchi wahisani kwa sababu walishinikiza mjadala wa sakata la ESCROW. CCM "The Dream Team" Inayoshikamana Wakati wa Mavuno" hawapaswi kupewa japo masaa kuendeleza visa na vioja vya Chenge na wenzake.
Amini usiamini mtanzania mwenzangu gharama za umeme zitashuka kwa kiasi fulani ikiwa mitego iliyotegeshwa katika mikataba kati ya TANESCO na IPTL/DOWANS/SONGAS iliyowekwa kwa maslahi ya makada wa CCM itatenguliwa.
Haitoweza kutenguliwa ikiwa CCM itarejea madarakani
Kama alivyosema Mzee Mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la Mzalendo la Chama Cha Mapinduzi, kuwa CCM ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"
Ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa CCM ndio Baba ndio Mama wa nchi hii, ni CCM pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.
CCM inakutana wiki hii mjini Dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa Jakaya, nani anakuwa Rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa CCM ndio Rais wa Tanzania kwani hakuna Chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa Rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.
Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa Dodoma kusikiliza nini CCM inataka kuamua, ndio ni kwa sababu CCM ndio baba wa Taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya Familia nzima, CCM ikiamua Taifa limeamua.
Kama alivyosema Mzee Mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la Mzalendo la Chama Cha Mapinduzi, kuwa CCM ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"
Ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa CCM ndio Baba ndio Mama wa nchi hii, ni CCM pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.
CCM inakutana wiki hii mjini Dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa Jakaya, nani anakuwa Rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa CCM ndio Rais wa Tanzania kwani hakuna Chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa Rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.
Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa Dodoma kusikiliza nini CCM inataka kuamua, ndio ni kwa sababu CCM ndio baba wa Taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya Familia nzima, CCM ikiamua Taifa limeamua.
Kama alivyosema Mzee Mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la Mzalendo la Chama Cha Mapinduzi, kuwa CCM ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"
Ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa CCM ndio Baba ndio Mama wa nchi hii, ni CCM pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.
CCM inakutana wiki hii mjini Dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa Jakaya, nani anakuwa Rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa CCM ndio Rais wa Tanzania kwani hakuna Chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa Rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.
Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa Dodoma kusikiliza nini CCM inataka kuamua, ndio ni kwa sababu CCM ndio baba wa Taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya Familia nzima, CCM ikiamua Taifa limeamua.
...roho mbaya na arrogance ya namna hii kwenye nchi (na chama-ccm) inayojinasibu kuwa eti ni ya kidemokrasia haitakiwi na huu ni mfano hai wa fikra za walio wengi huko ccm...Kwamba hatma ya nchi hii eti wanayo wao kwa namna yoyote ile.....Mawazo kama haya kwenye nchi ya kidemokrasia yanatosha kabisa kukinyim chama fursa ya kuongoza taifa...maana ni mawazo yenye kuonyesha ubinafsi uliozidi mipaka na hayakubaliki katika mataifa yenye kujinadi kufata demokrasia.....Haya ni mawazo ya chama chenye kutawala kidikteta na yamechangia kuviangusha vyama vingi madarakani........mfano mzuri ni hapo Kenya tu enzi ya KANU ya Moi.....Kweli sikio la kufa huwa halisikii dawa....
Unajua shida ya kujenga hoja ukiwa umelala kitandani ndiyo kama hii......Mara zote hoja za dizaini hiyo zinakuwa tofauti sana na uhalisia.....
Utajuta sana ukija kusoma hiki ulichokiandika baada ya January mwakani..
Aaah wapi hapati hadi UKIMWI umbebe akiubembeleza!!Ukuu wa wilaya bado unautaka kwani?
Hata kama ccm ingekuwa ICU bado itapewa nchi maana hakuna chama chochote cha upinzani chenye hadhi, sera, mfumo wenye kukidhi matakwa ya kupewa nchi. vyama vyetu vya upinzani vimeanzishwa katika misingi ya ub...inafsi na vinaendeshwa kwa misingi hiyo hiyo so they are good to continue being oposition.
Aise ukweli mgumu kumeza kama mhadarati,CDM mwaka huu yaweza kupata nishani ya matusi,maana mmebobea,tupa mzee akatibiwe maana anaumwa safura......nawatania cdm mtachukua ile tz ya matete hahahahha tetetetet ila Gwajima kawatabiria labda!!!!