Hatma ya nchi chini ya CCM: Masikio yote Dodoma

Hatma ya nchi chini ya CCM: Masikio yote Dodoma

hivi huko SISIEM una cheo gani mama???
Mana una uchungu na SISIEM wakati wenye SISIEM wametulia tu.
Nilishakwambia katafute u-DC kwanza ndo utapewa ukuuu wa Wilaaya
 
CCM inakuwaje baba kama inashindwa "kuzia mafuriko kwa mikono"?
 
Kama alivyosema Mzee Mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la Mzalendo la Chama Cha Mapinduzi, kuwa CCM ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"

Ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa CCM ndio Baba ndio Mama wa nchi hii, ni CCM pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.

CCM inakutana wiki hii mjini Dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa Jakaya, nani anakuwa Rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa CCM ndio Rais wa Tanzania kwani hakuna Chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa Rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.

Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa Dodoma kusikiliza nini CCM inataka kuamua, ndio ni kwa sababu CCM ndio baba wa Taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya Familia nzima, CCM ikiamua Taifa limeamua.

NI kweli hatma ya nchi ipo dodoma chini ya ccm

mimi ni kambi lowassa, JULIANA jiweke wazi wewe ni kambi gani ili ubunge ukujie au uhusahau kabisa 2016
nakukumbusha hamna cheo cha kuandika andika, kama nile waislam wanavyokumbushwa hamna pepo ya kuswaliswali
kuwa muwazi jiweke kwenye kambi mmojawapo kivitendo kuwinda ukuu wa wilaya otherwise umeze mchina ....ubinukebinuke
 
Eti CCM ndiyo baba na ndiyo mama wa nchi hii!!....labda ni baba na mama wa uzembe, udhalimu, ufisadi, wapokeaji rushwa, wauza unga, majangili, magaidi, unafiki na umbambikiaji kesi. Miaka 54 madarakani with nothing important to show off. Hata muasisi wa CCM Baba wa Taifa alikuwa mkweli na kutamka hadharani kwamba, "CCM si mama yangu"
 
Ukweli mchungu. CCM tunaenda kuwasilisha rasimu ya ilani ya chama kwa mwaka 2015 - 2020. Hawa wengine hata makubaliano ya pamoja hawana. Sijui wataenda kuwaambia nini wananchi. Naona hata kwenye bunge hili linaloendelea wao wanalalamika tu na hawasemi watawafanyia nini wananchi

Watawaambia wananchi kuwa umasikini walionao umetokana na ufisadi unaofanywa na CCM.

Watawambia kuwa kuichagua CCM inayo kufa ni kujichagulia kifo.

Watawaambia kuwa CCM imezeeka inaelekea kufa kwa hiyo wajiandae kuizika rasimi hapo mwezi wa 10.

Watawaambia kuwa kwa mabadiliko na maendeleo ya Taifa,wachague UKAWA.
 
Kama alivyosema Mzee Mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la Mzalendo la Chama Cha Mapinduzi, kuwa CCM ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"

Ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa CCM ndio Baba ndio Mama wa nchi hii, ni CCM pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.

CCM inakutana wiki hii mjini Dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa Jakaya, nani anakuwa Rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa CCM ndio Rais wa Tanzania kwani hakuna Chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa Rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.

Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa Dodoma kusikiliza nini CCM inataka kuamua, ndio ni kwa sababu CCM ndio baba wa Taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya Familia nzima, CCM ikiamua Taifa limeamua.

Kazi moja kubwa na ngumu inayo mtofautisha shetani na mwanadamu hata kama huyo mwanadamu ni mbaya kiasi gani, lkn hawezi kufanana na shetani ni mtu kuidanganya nafsi yake, hili shetani analiweza na ndo maana ktk Biblia anaitwa baba wa uwongo,
Sasa ninapo anza kuona mwanadamu anathubutu, kuikana nfsi yake kwa kujikana alivyo kiwa anaamini mwanzo kwasababu ya pesa yaani rushwa na roho ya usaliti, nachelea kusema ule mwisho umekaribia maana ile roho ya uasi ya shetani inazidi kutenda kazi ndani yako shonza,
Lkn kumbuka maneno yako hayawezi kuugeuza upepo ambao unavuma upendako, na huwezi kuuzuia,
 
CCM ni baba wa familia yako wewe na njaa zako sisi wengine usituhusishe!
Kama alivyosema Mzee Mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la Mzalendo la Chama Cha Mapinduzi, kuwa CCM ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"

Ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa CCM ndio Baba ndio Mama wa nchi hii, ni CCM pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.

CCM inakutana wiki hii mjini Dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa Jakaya, nani anakuwa Rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa CCM ndio Rais wa Tanzania kwani hakuna Chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa Rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.

Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa Dodoma kusikiliza nini CCM inataka kuamua, ndio ni kwa sababu CCM ndio baba wa Taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya Familia nzima, CCM ikiamua Taifa limeamua.
 
Kazi moja kubwa na ngumu inayo mtofautisha shetani na mwanadamu hata kama huyo mwanadamu ni mbaya kiasi gani, lkn hawezi kufanana na shetani ni mtu kuidanganya nafsi yake, hili shetani analiweza na ndo maana ktk Biblia anaitwa baba wa uwongo,
Sasa ninapo anza kuona mwanadamu anathubutu, kuikana nfsi yake kwa kujikana alivyo kiwa anaamini mwanzo kwasababu ya pesa yaani rushwa na roho ya usaliti, nachelea kusema ule mwisho umekaribia maana ile roho ya uasi ya shetani inazidi kutenda kazi ndani yako shonza,
Lkn kumbuka maneno yako hayawezi kuugeuza upepo ambao unavuma upendako, na huwezi kuuzuia,

Ni kweli Juliana wewe ni mfano mbaya sana wa usaluti. Hivi unaweza kuvadili itikadi kirahisi hivyo just kwa kuhongwa? Juzjuzi wewe ulikuwa Kiongozi Bavicha leo eti wrwe ni ccm kinskindaki! Kweli? Nini unachokisimamiwhat is your ideology. Una principles za maisha? a ktk maisha yako?Mwanamke una price tag! Aibu! Wewe na Zitto walewale! Kwa hiyo kuposti hivi kunatosha kukufanya nawe uonekane umeipigania Ccm? Ustahili kupata cheo huko mbeleni?! Juliana wewe ni kichefuchefu sana. Hasa kwa umslaya wa kisiasa. Unasema Ccm ni bb kwa sababu wanakulisha au kwa sababu linatoka moyoni?Very unfortunate kwamba upinzani uliwahi kuwa na takataka lm wewe.
 
Ni kweli kabisa, CCM ndio imebeba jukumu la kutuletea Rais bora!

Hivi katika CCM ukiwa huna la kusema ukaa kimya huwezi kuwa kuonekana mwanachama? Wewe ni mkiristu. Yesu alipoondoka duniani alituachia watanzania CCM? Je, mtu akizaliwa akajiunga na CCM ndiyo anakuwa na uwezo wa ajabu,kipekee na wa milele wa kuongoza watanzania? Hivi kwako uongozi wa nchi ni uraisi tu? Kuna serikali za mitaa, halmashauri na majimbo yanaongozwa na wasio wanaCcm na mbona maisha hayajasimama?
Hivi mbona mnafanya mzaha hivi na maisha ya watanzania? Au fikra kama hizi ndio siasa?

AaaAAaaaaAAAaAAaAAaaAaaAaaAAAAAaA@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@
 
Ukweli mchungu. CCM tunaenda kuwasilisha rasimu ya ilani ya chama kwa mwaka 2015 - 2020. Hawa wengine hata makubaliano ya pamoja hawana. Sijui wataenda kuwaambia nini wananchi. Naona hat

a kwenye bunge hili linaloendelea wao wanalalamika tu na hawasemi watawafanyia nini wananchi
hizo ahadi mlizotekeleza nyie ni zipi?
 
Hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho mwisho wa ccm umeshafika sasa tunasubiri kujiandikisha na kutoa hukumu zetu kwenye sanduku la kura Juliana hata mgonjwa anayekaribia kufa hujipa moyo sana anaweza kupona kumbe muda wake wa kufa umefika endeleeni kujifariji mpaka octoba kitaeleweka .
 
Last edited by a moderator:
Eti CCM ndiyo baba na ndiyo mama wa nchi hii!!....labda ni baba na mama wa uzembe, udhalimu, ufisadi, wapokeaji rushwa, wauza unga, majangili, magaidi, unafiki na umbambikiaji kesi. Miaka 54 madarakani with nothing important to show off. Hata muasisi wa CCM Baba wa Taifa alikuwa mkweli na kutamka hadharani kwamba, "CCM si mama yangu"
Heshima yako mkuu hawa wachovu wanajua watanzania wale ni wale miaka 1995 wanajidanganya sana watanzania wa leo wanajua kila kitu wizi wao na ufisadi umesababisha huduma mbovu na ugumu wa maisha kwa kila mtanzania hiyo ishara tosha kwa watanzania kuamua kufanya mabadiliko makubwa kwa kuiondoa madarakani serikali ya ccm.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
CCM inakuwaje baba kama inashindwa "kuzia mafuriko kwa mikono"?

Huyo ndo ameshikilia roho ya ccm wana hali mbaya sana kupitishwa kugombea ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano .liwalo na liwe wampitishe wasipomtisha ccm lazima mwaka huu waondoke madarakani.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kama alivyosema Mzee Mkapa katika moja ya hotuba yake makini aliyoitoa mwishoni mwa miaka ya 2004 ambayo imenukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari na katika jarida la Mzalendo la Chama Cha Mapinduzi, kuwa CCM ikipiga chafya wengine wote wanapata homa"

Ukweli huo umebaki hivyo na utabaki hivyo milele kuwa CCM ndio Baba ndio Mama wa nchi hii, ni CCM pekee yenye kuweza kufanya uamuzi wa dhati wa hatma na mustakabali wa nchi.

CCM inakutana wiki hii mjini Dodoma kufanya maamuzi ya hatma ya nchi, kuamua nani anakuja kuwa mrithi wa Jakaya, nani anakuwa Rais wa awamu ya tano, maana ukweli ni kuwa mgombea wa CCM ndio Rais wa Tanzania kwani hakuna Chama wala kikundi cha walafi kinachoweza kutoa Rais ama chenye uhakika wa kupata hata wabunge 20 katika uchaguzi wa 2015.

Wananchi, vyombo vyote vya habari na vyama vya siasa wooote masikio yao yameelekezwa Dodoma kusikiliza nini CCM inataka kuamua, ndio ni kwa sababu CCM ndio baba wa Taifa hili na maamuzi ya baba ni maamuzi ya Familia nzima, CCM ikiamua Taifa limeamua.

Watahitajika waburudishaji kwenye kikao hicho?
 
Back
Top Bottom