Hatma ya Freeman Mbowe CHADEMA

Cdm INA rasilimali gani za kuliwa, watu wanajitolea, unaandika ushabiki tu, sababu we ni masikini
CDM ina Ruzuku, Hujasikia watu wakilalamima kuwa 1.2b imepigwa. hukumbuki Ripoti ya C.A.G. endelea kujitolea Bob!
 
Tumbo lako lina Mkataba na Mbowe, kila yako na kuishi kwako kunategemea uwepo wa Mbowe, obviously what you can do is to make sure Mbowe stays, regardless of what is going to deliver! Poor you!
Wewe mbona unamtegemea polepole
 
Mstari wa mwisho naungana na wewe. Hawa ni watu wanaofaidika na uwepo wa Mbowe Kama waliofaidika na utawala wa Mgabe walivyotaka aendelee kuwepo bila kujali analeta Nini!
CCM mna shida sana.Ha Ha Haaa
 
CDM ina Ruzuku, Hujasikia watu wakilalamima kuwa 1.2b imepigwa. hukumbuki Ripoti ya C.A.G. endelea kujitolea Bob!
Wanapata vijisenti tu. Nchi kubwa hii, we kwa akili yako ya kimaskini unadhani ruzuku ni hela ya maana,
 
Tumbo lako lina Mkataba na Mbowe, kila yako na kuishi kwako kunategemea uwepo wa Mbowe, obviously what you can do is to make sure Mbowe stays, regardless of what is going to deliver! Poor you!
Tumbo lako wewe lina mkataba na CCM
 
CCM inahusikaje hapa, kwani mkiitisha uchaguzi CCM itawaingilia?
 
Acha unaa. Aliapa kuua upinzani 2020, akaapa kutokushirikiana na wapinzani, akawatuma vijana wake wawapige risasi wapinzani akazuia mikutano, aka mwagiza spika awafukuze bungeni, ameendelea kuwahuhumu wapinzani, alafu unaandika upuuzi,
Mkuu mbona ccm haijawahi kuwa tayari kukabidhi madaraka kwa wapinzani wanaposhinda uchaguzi Mara nyingi huko nyuma
 
Wewe mbona unamtegemea polepole
I never depend on anybody, iam street hustler baddy lakini napenda kuona watu wanaishi yale wanayoyaamini. CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO BILA DEMOCRASIA NA MAENDELEO NI UBATILI, Watanzania sio wajinga eti!
 

Chukua kadi uwe mwanachama alafu ndo ukaulize maswali yako ya kijinga
 
Wanapata vijisenti tu. Nchi kubwa hii, we kwa akili yako ya kimaskini unadhani ruzuku ni hela ya maana,
Hiyo Ruzuku ndogo imefanya nini?.Hata Ofisi hawana, Kama kidogo wanachopata waonyeshe basi hata madogo yanayololingana nacho!
 
Kama ambavyo ccm haiko tayari kukabidhi madaraka kwa vyama vingine, ni hivyo hivyo Mbowe hayuko tayari kukabidhi uenyekiti kwa wanachama wengine.
 
Dogo mbona unaumia sana, na yasiyokuhusu, nenda uchukue kadi ukazungumze kwenye vikao
 
Hiyo Ruzuku ndogo imefanya nini?.Hata Ofisi hawana, Kama kidogo wanachopata waonyeshe basi hata madogo yanayololingana nacho!
Dogo Chadema wanakuumiza sana, ni chama chao watajua wenyewe, kama ilivyokuwa ccm makada kujimiliksha Mali za chama,
 
Chukua kadi uwe mwanachama alafu ndo ukaulize maswali yako ya kijinga
Punguza mihemko kamanda, mbona hamtaki kuhojiwa nyie? Mnapenda kuwahoji CCM tu,kwani nyie mna kadi za CCM?
 
Dogo Chadema wanakuumiza sana, ni chama chao watajua wenyewe, kama ilivyokuwa ccm makada kujimiliksha Mali za chama,
Ha ha haha nina Maslahi mapana na CHADEMA kwakuwa mimi ni mpiga kura!
 
Wapatikane wabunge, wasipatikane. wanachama wanamtaka mbowe full stop.

Hivi kwa akili yako fupi unaamini tuna bunge hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…