Hatimaye utabiri wa Kakobe kutimia

Magamba yameng'ang'ania hadi yana ndimi mbili sasa. CCM hakuna demokrasia bali ni usanii, kama kweli kuna demokrasia basi waache majina ya wagombea wote wapigiwe kura na wajumbe wa mkutano mkuu. ulisikia wapi kuwa kukatana majina bila kupigiwa kura ni demokrasia? watu wamejipanga na waganga wakienyeji tayari kwa mashambulizi hapo demokrasia ipo wapi? Kama mtu hana sifa kwanini ulimpa fomu ili agombee? kwanini huku mwambia tangu mwanzo kuwa wewe huna sifa? hicho ni nini kama siyo usanii? ccm ni wasanii na hawana demokrasia yoyote.

Very poor and unfounded comment. Do you believe in US democracy? Is it the best one in the world? How they invite presidential aspirants and party caucasus screen them? There are checks and balances in democracy you fool. Democracy is not an anarchy.
 
Back
Top Bottom