Ameen na itokee tuu,nitamshukuru sana MunguMwaka jana mtumishi wa Mungu Askofu Zachakary Kakobe alitabiri kuwa mwaka huu CCM wataparuana na kuparanganyika .
Utabiri huu umeanza kutimia kwani leo tumeona bunge la CCM limegoma likidai kiinua mgongo kipandishwe baada ya CAG kutoa ushauri washushe kiwango cha pesa wanachotaka kupewa vilevile kwenye uteuzi wa mgombea urais.
Kuna timu imejipanga kufanya fujo endapo mgombea wao atakatwa haya yote yanafanyika ili neno la Mungu lisimame na utabiri wa mtumishi wa Mungu utimie.
Hakika Mungu ni mwema tunaenda kuona anguko la CCM muda si mrefu.
Ccm ni chama makini hivyo kutofautiana mawazo ni jambo la kawaida ktk kundi fulani then hurudi pamoja na kusonga mbele km askari wa medani
Me binafsi naona tofauti ,wana ukomavu wa demokrasia ya ndani so they are stronger,tofauti na kile chama ambacho ukitoa kauli ya kum contradict Mtendaji mkuu au ukigombea nafasi yake tu unakwenda na maji!!
mwaka jana mtumishi wa mungu askofu zachakary kakobe alitabiri kuwa mwaka huu ccm wataparuana na kuparanganyika .
Utabiri huu umeanza kutimia kwani leo tumeona bunge la ccm limegoma likidai kiinua mgongo kipandishwe baada ya cag kutoa ushauri washushe kiwango cha pesa wanachotaka kupewa vilevile kwenye uteuzi wa mgombea urais.
Kuna timu imejipanga kufanya fujo endapo mgombea wao atakatwa haya yote yanafanyika ili neno la mungu lisimame na utabiri wa mtumishi wa mungu utimie.
Hakika mungu ni mwema tunaenda kuona anguko la ccm muda si mrefu.
Me binafsi naona tofauti ,wana ukomavu wa demokrasia ya ndani so they are stronger,tofauti na kile chama ambacho ukitoa kauli ya kum contradict Mtendaji mkuu au ukigombea nafasi yake tu unakwenda na maji!!
Kakobe sio wa kumuamini,alishawahi kumtabiria Mrema kuwa ndiye anafaa kuwa rais ni chaguo LA Mungu
Kakobe sio wa kumuamini,alishawahi kumtabiria Mrema kuwa ndiye anafaa kuwa rais ni chaguo LA Mungu
Kakobe sio wa kumuamini,alishawahi kumtabiria Mrema kuwa ndiye anafaa kuwa rais ni chaguo LA Mungu
Mwaka jana mtumishi wa Mungu Askofu Zachakary Kakobe alitabiri kuwa mwaka huu CCM wataparuana na kuparanganyika .
Utabiri huu umeanza kutimia kwani leo tumeona bunge la CCM limegoma likidai kiinua mgongo kipandishwe baada ya CAG kutoa ushauri washushe kiwango cha pesa wanachotaka kupewa vilevile kwenye uteuzi wa mgombea urais.
Kuna timu imejipanga kufanya fujo endapo mgombea wao atakatwa haya yote yanafanyika ili neno la Mungu lisimame na utabiri wa mtumishi wa Mungu utimie.
Hakika Mungu ni mwema tunaenda kuona anguko la CCM muda si mrefu.
Mwaka jana mtumishi wa Mungu Askofu Zachakary Kakobe alitabiri kuwa mwaka huu CCM wataparuana na kuparanganyika .
Utabiri huu umeanza kutimia kwani leo tumeona bunge la CCM limegoma likidai kiinua mgongo kipandishwe baada ya CAG kutoa ushauri washushe kiwango cha pesa wanachotaka kupewa vilevile kwenye uteuzi wa mgombea urais.
Kuna timu imejipanga kufanya fujo endapo mgombea wao atakatwa haya yote yanafanyika ili neno la Mungu lisimame na utabiri wa mtumishi wa Mungu utimie.
Hakika Mungu ni mwema tunaenda kuona anguko la CCM muda si mrefu.
Sifa hazipimwi kabla hujajaza form!Wapiuliwahi kuomba form ukaulizwa vyeti vyako!?Form unachukua na kujaza sifa ulizonazo then watu wanakupima kama umekidhi vigezoMagamba yameng'ang'ania hadi yana ndimi mbili sasa. CCM hakuna demokrasia bali ni usanii, kama kweli kuna demokrasia basi waache majina ya wagombea wote wapigiwe kura na wajumbe wa mkutano mkuu. ulisikia wapi kuwa kukatana majina bila kupigiwa kura ni demokrasia? watu wamejipanga na waganga wakienyeji tayari kwa mashambulizi hapo demokrasia ipo wapi? Kama mtu hana sifa kwanini ulimpa fomu ili agombee? kwanini huku mwambia tangu mwanzo kuwa wewe huna sifa? hicho ni nini kama siyo usanii? ccm ni wasanii na hawana demokrasia yoyote.
Ulishawahi kusikia mwana ccm anamsema vibaya mwenyekiti wa chama vibaya jukwaani, ulishasikia mwanaccm anapanga njama za kumpindua mwenyekiti?
Sifa hazipimwi kabla hujajaza form!Wapiuliwahi kuomba form ukaulizwa vyeti vyako!?Form unachukua na kujaza sifa ulizonazo then watu wanakupima kama umekidhi vigezo
nitafute saa tisa na mgombea wako kama 5 bora ataingiaWewe subiria kumeza visu
Uone vipi kwani wakitwangana makonde kikao cha maadili itajulikana. humo kikwete tu kaingia na simu na wakitoka humo hakuna kusema ya umo zaidi ya matokeo.mie TOMASoo....mpaka yatokee alotabiri ndo nami NTAAMINI mtumishi wa mungu aliona mbali
CCM ukimpindua mwenyekiti inabidi wewe ndo uwe rais wa nchi.Ulishawahi kusikia mwana ccm anamsema vibaya mwenyekiti wa chama vibaya jukwaani, ulishasikia mwanaccm anapanga njama za kumpindua mwenyekiti?