Mwaka jana mtumishi wa Mungu Askofu Zachakary Kakobe alitabiri kuwa mwaka huu CCM wataparuana na kuparanganyika .
Utabiri huu umeanza kutimia kwani leo tumeona bunge la CCM limegoma likidai kiinua mgongo kipandishwe baada ya CAG kutoa ushauri washushe kiwango cha pesa wanachotaka kupewa vilevile kwenye uteuzi wa mgombea urais.
Kuna timu imejipanga kufanya fujo endapo mgombea wao atakatwa haya yote yanafanyika ili neno la Mungu lisimame na utabiri wa mtumishi wa Mungu utimie.
Hakika Mungu ni mwema tunaenda kuona anguko la CCM muda si mrefu.
Utabiri huu umeanza kutimia kwani leo tumeona bunge la CCM limegoma likidai kiinua mgongo kipandishwe baada ya CAG kutoa ushauri washushe kiwango cha pesa wanachotaka kupewa vilevile kwenye uteuzi wa mgombea urais.
Kuna timu imejipanga kufanya fujo endapo mgombea wao atakatwa haya yote yanafanyika ili neno la Mungu lisimame na utabiri wa mtumishi wa Mungu utimie.
Hakika Mungu ni mwema tunaenda kuona anguko la CCM muda si mrefu.