Hatimaye tumechukua no moja

Hatimaye tumechukua no moja

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,093
Reaction score
828,893
Tunapaswa kujipongeza jamani
IMG-20181024-WA0049.jpeg
 
Ha ha haaaaaaa

Kuna kitu nilibaki mataa ni baada ya issue ya yule side chick wa D. Platnumz ya kutumia ya kuroga sijui kunini..

Nikasoma comments insta tena nilizidisha. Nikakuta wanawake wengi wameandika ni kawaida.. haikuwashtua.. wanayafanya kama kawa.. nili 🙆‍🙆‍🙆‍

Sikurudi kusoma kwa kushangaaa imekuwa part ya maishani mwa wengi bila aibu.

Lete habari basi.. siku hizi hutaki tuzidi kujijazia imani ya kumcha Mola na kujiamini au?
 
Kwa kweli hili nakubaliana nalo kabisa kuwa Tz wanaongoza.

Wengi unaewaona lazima wana chale awe mwanamke au mwanaume
Yaani wengine wanaingia kazini na chale mpya karibu na jicho ukimuuliza anajiumauma tu
Kweli ndumba haiishi duniani
 
Na wanaoongoza hapa kwetu ni wanawake/wadada, yaani wanaume tuna kazi sana tunagawanwa na hawa viumbe kama mpira wa kona, ukirudi home mwanamama anafanya yake, ukikaa mezani house girl anafanya yake,ukienda kwa mchepuko nae anakolezea kwake,yaani tupo tupo tu kama misukule
 
Ha ha haaaaaaa

Kuna kitu nilibaki mataa ni baada ya issue ya yule side chick wa D. Platnumz ya kutumia ya kuroga sijui kunini..

Nikasoma comments insta tena nilizidisha. Nikakuta wanawake wengi wameandika ni kawaida.. haikuwashtua.. wanayafanya kama kawa.. nili

Sikurudi kusoma kwa kushangaaa imekuwa part ya maishani mwa wengi bila aibu.

Lete habari basi.. siku hizi hutaki tuzidi kujijazia imani ya kumcha Mola na kujiamini au?
usijali hapa kati drama zilikuwa nyingi ila nitarejea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom