Nilitegemea vyuo vyote vinafuata mchakato ulio wekwa, sasa kama wao una confirm bila kutumia code imekuwaje? Karibu vyuo vyote vimetoa orodha ya waliochaguliwa (single na multiple) lakini UDSM sioni kitu yaani mnamalizana ndani kwa ndani. Naona hawataki tujue nani wamechaguliwa huko au nani ameconfirm huko.