Jana tarehe 30 april Ndg Subhash Patel kupitia kwa wakili wake Julius Lugazya kawafungulia kesi wahariri na magazeti yao ya nipashe na guardian, wakurugenzi wa radio uhuru na ITV pamoja na mwenyekiti wao Mengi kwa kashfa za kumuita fisadi papa na kudai alipata Mchuchuma kwa mizengwe. Anawataka waombe radhi ndani ya siku saba na wamlipe fidia ya shs bilioni kumi.