Hatimaye Subhash Patel amvaa Reginald Mengi

Hatimaye Subhash Patel amvaa Reginald Mengi

Mzee Mengi anazungumza kwa 'metaphor' amewataja mafisadi papa ambao ni dam dam na JK, kwa lugha nyingine Mengi amemtaja JK kama mlinzi wa mafisadi papa,
aminini msiamini, this time kibao kinamgeukia Mengi, lets wait and see.
Japo Mengi ni Mafia, mapapa ni mamafia na JK nyuma yao!.
Dah!..kitambo sana, maisha ni safari.
 
Huyu ndiye aliyekuwa mweka hazina wa kamati ya mtandao wakati wa kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea wa CCM yeye ndiye alikuwa anakusanya na kusambaza mabilioni yaliyotumika katika kuhonga wajumbe ili kununua kura za kumbeba jamaa ili aingie IKULU.
Dah!! Hivi umekaa nyuma ya keyboard for 10+ years? Ukisubiri nini? Kweli wewe ni mkongwe
 
Wewe nani humu unipangie muda wa kuwepo hapa? Hunijui sikujui huo ukongwe ulionibambikia umeutoa wapi?
Dah!!hivi umekaa nyuma ya keyboard for 10+ years?ukisubiri nini?Kweli wewe ni mkongwe
 
Wewe nani humu unipangie muda wa kuwepo hapa? Hunijui sikujui huo ukongwe ulionibambikia umeutoa wapi?
Apologies....🙇‍♂️🙇‍♂️🙇‍♂️
 
  • Nzuri
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom