figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,662
- 59,100
Hata hajui anaongea nini nadhani. Kwani mwaka huu CCM haawana Ilani?
Wangejikita kunadi Ilani
Wangejikita kunadi Ilani
Amechanganyikiwa na maandamano. Moja haikai wala mbiliHuyu mzee maskini analeta masuala ya Bandari mda huu
Faza ako ( Gendaheka ) nyara ya Serikali ishakula Konyagi mwitu ( Chingiri ) Hadi ROM inaruka baadhi ya herufi.Nimecheka kinoma
😄 🤣Faza ako ( Gendaheka ) nyara ya Serikali ishakula Konyagi mwitu ( Chingiri ) Hadi ROM inaruka baadhi ya herufi.
Misitu haijaisha inakuja Kufosi uraiani.😄 🤣
Eti Gendaheka, kwaiyo nyara hii, imekimbia kutoka Gombe?
Huyo mzee mpumzisheni huko chamani kwenuFaza ako ( Gendaheka ) nyara ya Serikali ishakula Konyagi mwitu ( Chingiri ) Hadi ROM inaruka baadhi ya herufi.
Mmh!Mzee wa Gombe
View attachment 3494011
Ni yeyeMmh!
Utatekwa😝😝😝Ni yeye
Wakija nageuka sisimizi.Utatekwa😝😝😝