Hatimaye serikali yakubali marekebisho ya muswada wa katiba mpya...

Hapo kwenye red; eti malumbano ya muda mrefu! Hivi wamefafanua ni malumbano baina ya nani na nani au pande zipi? Najua hakuna (serikalini au CCM) atakayethubutu kufafanua au wakifanya hivyo lazima wapindishe maneno.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni; CHADEMA itabaki katika historia kama miongoni mwa taasisi zilichochangia kwa kiasi kikubwa mabadiliko chanya ya kisiasa na kijamii katika taifa letu. Hivi taasisi kama CHADEMA zisingekuwepo sijui hii nchi ingekuwaje; nadhani CCM wangekuwa wametufanya kitu mbaya kupita maelezo!

Chadema haina sura ya Taasisi bado ni kampuni ya kifamilia(familia ya Mtei na Mwenyekiti wa Chadema Taifa kaoa mtoto wa Mzee Mtei). Ebu tafuta neno jingine badala ya Taasisi!
 
Hii ni aibu kwa Pinda na Makinda. Walikuwa ktk nafasi ya kumsaidia Rais kabla ya muswaada huo kusomwa kwa mara ya pili bungeni. Wengine ni Kombani,Werema,wajumbe wa Kamati ya Sheria na Katiba kutoka ktk vyama vya CCM na CUF na mwisho ni wabunge wote waliounga mkono muswada huo mbovu kuwa sheria. Historia itawahukumu kwa usaliti wenu.
 
Jk kama unadhani ipo siku utawafurahisha chadema tembelea Jf hata kwa hili la kukubaliana nao bado wanakuona huna maana.

JK yuko smart sana wala usiwe na wasi wasi hao wavaa makombati walienda Ikulu wakaongea nae kesho yake akatia saini Muswada,wakasema wamejitoa kwenye suala la Katiba,juzi wakaenda tena Ikulu ni maigizo tu,atawaacha kwenye kona hadi Magwanda hawata amini
 
Wito kwa wakristo tuunde jukwaa la kuhakikisha katiba hii italinda maslahi yetu na haki zetu. (Tuige mfano kwa ndg zetu waislamu) Nawasilisha
 
JK yuko smart sana wala usiwe na wasi wasi hao wavaa makombati walienda Ikulu wakaongea nae kesho yake akatia saini Muswada,wakasema wamejitoa kwenye suala la Katiba,juzi wakaenda tena Ikulu ni maigizo tu,atawaacha kwenye kona hadi Magwanda hawata amini

Hivi we unajua ulichoandika?
 
Kwani Pindi Chana sio member JF? Watetezi wa magamba soon watalikimbia hili jukwaa na kuhamia Kwenye chit chat. Wanahitaji mwakilishi asiyeongea pumba Kwenye mambo ya msingi kwa taifa letu.
 
ningekuwa mimi ndiye Jk ningekataa mapendekezo yote ya chadema na pia ningekataa ombi lao la kuja Ikulu kwa sababu ya kejeri na majigambo. kumbe chadema mlikwenda Ikulu kutafuta mshindi mimi nilidhani mlikwenda kutafuta muafaka.
Ha ha haaaaa...!
MAMA POROJO,
tuache porojo katika mambo mazito
hasa yale yanayohusu hatma ya taifa letu.
Compromising with the ridiculous ? no never!
Ridiculous ideas deserve ridicule, not consideration;
and certainly not the dignity of compromise.
Always remember,
Only the aggressive, ever conquered the World.
Since we wants it and we needs it,
We will have it for we must have it.
Bravo Chadema, a luta continua...!
 
Nikufahamishe nini zaidi, soma vizuri post yangu ipo crystal clear.

Mswada ulisha sainiwa kuwa sheria kwa hiyo chochote kitachofanyika kwenye sheria hiyo inakuwa ni marekebisho (amendment) ya sheria.

amendment ya sheria hata matumizi hayajaanza?
Wakati mwingine kuwatetea hawa watu kunahitaji ujitowe ufahamu kidogo.
Big up FF!
 
Kibaya na kizuri vyote ni vibaya. Pole sana Jakaya kila utendalo ni baya kwa chadema. Labda jaribu kuwa dictator kidogo.
 
Mswada ulisha sainiwa kuwa sheria kwa hiyo chochote kitachofanyika kwenye sheria hiyo inakuwa ni marekebisho (amendment) ya sheria.
Sio lazima "chochote kitakachofanyika inakuwa ni amendment," sheria inaweza kufutwa vile vile.
 
ningekuwa mimi ndiye jk ningekataa mapendekezo yote ya chadema na pia ningekataa ombi lao la kuja ikulu kwa sababu ya kejeri na majigambo. Kumbe chadema mlikwenda ikulu kutafuta mshindi mimi nilidhani mlikwenda kutafuta muafaka.

iq yako ni kama ya mwenyekiti wako wa chama! Too low
 
Hakuna tofauti na maalim seif kupewa makamu wa kwanza..

naona mmefurahi sana waambie na wanachama wenzako wawe na adabu na rais ndio watafanikiwa lakini sio kususa ok..
Maalim Seif ni CCM B.
Huyo unaemwita Rais yeye mwenyewe ana adabu kwa chadema, kinachowapa shaka wenye akili ni uwezo wake wa kufanya maamuzi sahihi...
 
Sasa chadema wakitaka wasuse kikao tena cha bunge ndio tutachua wanajua kususa
Chadema ni chama kinachotaka mwafaka wa kitaifa. Hawapo Bungeni kuunga mkono hoja 100% hata kama hiyo hoja imejaa upumbavu. Wakati wowote patakapotokea mwafaka wa kitaifa unadhulumiwa Chadema HAWAREMBI, wanawaachia wagonga meza na waunga mkono hoja waendelee kuosha vinywa!
 
Back
Top Bottom