MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
chadema sasa mmejua faida ya mazungumzo sio kususa tuuuuuuuuuuu na kutishia kuandamana nchi nzima.
Bado kuna mapungufu kama Rais bado ana mamlaka makubwa.
Mswada upi tena? kama kurekebishwa inarekebishwa sheria, mswada ulisha sainiwa na kuwa sheria.
Marekebisho ya sheria hayazuwii sheria hiyo kutumika kama ilivyyo, mpaka hapo marekebisho yatapokwisha fanyika bungeni na kupelekewa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuyasaini hayo marekebisho. Ni vitu vya kawaida kabisa na ndiyo kazi za bunge, hakuna jipya wala cha ajabu hapo.
Mswada upi tena? kama kurekebishwa inarekebishwa sheria, mswada ulisha sainiwa na kuwa sheria.
Marekebisho ya sheria hayazuwii sheria hiyo kutumika kama ilivyyo, mpaka hapo marekebisho yatapokwisha fanyika bungeni na kupelekewa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuyasaini hayo marekebisho. Ni vitu vya kawaida kabisa na ndiyo kazi za bunge, hakuna jipya wala cha ajabu hapo.
Sijui ile mibunge ya magamba na KAFU pale mjengoni inajisikiaje! CHADEMA waelezeni wananchi kwa nguvu zote kilichotokea na juhudi zenu hadi kufanikisha hili. Aibu kwa CCM na wabunge wao, Spika, waziri husika, na Mwanasheria Mkuu.
JK anasitahiri pongezi
Vyovyote utakavyoeleza unazidi kumwaibisha huyo alosaini huo muswada kuwa sheria. Inaonesha ni jinsi gani asivyokuwa makini hata kwa mambo makubwa ya kitaifa. Si kila muswada anaoletewa Rais kutoka Bungeni anatakiwa kuusaini! Anayo mamlaka kikatiba kukataa baadhi ya mambo.
Haiwezekani muswada usainiwe leo halafu chini ya miezi mitatu huyo huyo aliousaini aagize urudishwe Bungeni. Bora tu unyamaze maana unamchoma hata huyo unayemtetea.
Jk nazidi kukupenda
Jk nazidi kukupenda
Hakuna tofauti na maalim seif kupewa makamu wa kwanza..
naona mmefurahi sana waambie na wanachama wenzako wawe na adabu na rais ndio watafanikiwa lakini sio kususa ok..
chadema sasa mmejua faida ya mazungumzo sio kususa tuuuuuuuuuuu na kutishia kuandamana nchi nzima.
Sasa chadema wakitaka wasuse kikao tena cha bunge ndio tutachua wanajua kususa
Mijitu kwa taarab bana. Mlete basi huyo Pacha wako FF hapa tuwapigie Taarab zenu wenyewe.
Fisadi mkubwa, utakufa nacho Kijiba cha Roho, utazikwa nayo roho mbaya na choyo......
Kumbe Kikwete ana akili sana ukilinganisha na hiyo Midude mingine iliyobaki na kuburuzwa kama ........
Sasa naelewa kwa nini aliweka sahihi ili kuirisha mi Empty Head. Ila akaona ni wapi ataipiga bao la kisigino.
Go Kikwete Go. Na ubaya wako wote, jiwekee kumbukumbu kuwa ni RAIS ALIYELETA KATIBA YA TANZANIA bila kumwaga damu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA......