only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Baada ya malumbano ya muda mrefu hatimaye serikali imekubali marekebisho ya mswada wa katiba..hasa kifungu cha kuwaruhusu wanaharakati na vyama vya siasa kuweka mikutano na wanachama wake ili kujadili namna ya kushiriki kwenye mswada huu.Marekebisho haya yatapelekwa kwenye kikao kijacho cha bunge.
Source:TBC 1
Source:TBC 1