Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,320
- 6,806
Sasa mibunge ya CCM ilivyokuwa inashabikia ule muswada!!!!!!!!
Mibongolala yote pamoja na kuwadi wao Werema! hamna kitu kabisa!
Sasa watawaambiaje wananchi juu ya matusi waliyowatukana wanachadema?......na bado marekebisho mengi yanahitajika kama namna bora ya kuunda bunge la katiba..na mambo mengi tu!
Mibongolala yote pamoja na kuwadi wao Werema! hamna kitu kabisa!
Sasa watawaambiaje wananchi juu ya matusi waliyowatukana wanachadema?......na bado marekebisho mengi yanahitajika kama namna bora ya kuunda bunge la katiba..na mambo mengi tu!