KINGSLEE
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 838
- 1,058
WW UNATAKA TULE ELA YAKE AKOSE ELA YA MAFUTA KURUD DAR😀😀Kama umefika leo jitahd utembelee delux, villar park, las vegas kona ya bwiru.. Hutajuta kuwa mwanza!
WW UNATAKA TULE ELA YAKE AKOSE ELA YA MAFUTA KURUD DAR😀😀Kama umefika leo jitahd utembelee delux, villar park, las vegas kona ya bwiru.. Hutajuta kuwa mwanza!
Akaondoe uchovu wa kukaa kwenye runx kwa muda mrefu,WW UNATAKA TULE ELA YAKE AKOSE ELA YA MAFUTA KURUD DAR😀😀
Njoo hapa feri nikuuzie kwa bei ya jumlaHONGERA SANA MKUU UMEJITAHIDI SANA
Ukitudi mkuu usisahau kunichukulia wale dagaa wanaokaangwa moja kwa moja 0710701361
Niko serious mkuu
Ndiyo upeo wa juu wa kufikiri wa Mtanzania huo. Ni kulipizana. Ili na yeye awe anawamulika mpaka wahame njia 😂😂😂Unalalamika mataa makali halafu unataka uyaweke na wewe , akili ya maharage
Na ile njia inahitaji umakini sana!Mtoa mada nakushauri Tu hata ufunge taa za namna gani bado usiku utapata shida Tu..... jitahid utembee mchana Tu Mimi nimefanya safari nyingi Sana za usiku Ila nimeacha kitambo sanaa na hizo mambo.
Mara nyingi safari za kutoka mwanzo kuja DAR naanza SAA 10 usiku ili asubuhi inikute nzega
Nipe kazi niwe nakutumia dagaa Nyamanono PerfectzHONGERA SANA MKUU UMEJITAHIDI SANA
Ukitudi mkuu usisahau kunichukulia wale dagaa wanaokaangwa moja kwa moja 0710701361
Niko serious mkuu
Huyu ni mshua anatembelea maeneo tulivu. Huyu wa kwenda Malaika beaches, Midlands, Hadjens rooftop, Tilapia sehemu kama hizi ambapo unakutana na CEOs, CFOs, MDs n.kKama umefika leo jitahd utembelee delux, villar park, las vegas kona ya bwiru.. Hutajuta kuwa mwanza!
Hivi hizi mbwembwe zina faida gani?Haujakutana na mabus aisee unaweza kupaki gari wale jamaa wanapiga full kama uwanja wa taifaView attachment 3416177
Balaa SanaDah hii kitu ilifanya niache kabisa safari za usiku. Madereva ma bus wakikupiga hiyo mbele huoni kitu. Ila pongezi za dhati kabisa ziende kwa madereva ma lorry hao jamaa wakikuona tu unakuja wanapunguza taa vizuri tu ila kama utakomaa na mitaa yako watakumulika kiasi kwamba watahakikisha wanaona mpaka ndani mpo wangapi![]()
Ndiyo maisha Yao ya barabaraniHivi hizi mbwembwe zina faida gani?
HahahagahahahHuyu ni mshua anatembelea maeneo tulivu. Huyu wa kwenda Malaika beaches, Midlands, Hadjens rooftop, Tilapia sehemu kama hizi ambapo unakutana na CEOs, CFOs, MDs n.k
Nifunge au niache???Hii sawa kabisa
Hahahaa ayseee jana nilikuwa Tunza beach chimbo langu la muda wote ni hapo...Huyu ni mshua anatembelea maeneo tulivu. Huyu wa kwenda Malaika beaches, Midlands, Hadjens rooftop, Tilapia sehemu kama hizi ambapo unakutana na CEOs, CFOs, MDs n.k
OkaySafi sana mkuu. Sema umetubania baadhi ya vitu:
1. Mafuta.
2. Wastani wa speed.
3. Vituo vingapi.
AyseeeDah hii kitu ilifanya niache kabisa safari za usiku. Madereva ma bus wakikupiga hiyo mbele huoni kitu. Ila pongezi za dhati kabisa ziende kwa madereva ma lorry hao jamaa wakikuona tu unakuja wanapunguza taa vizuri tu ila kama utakomaa na mitaa yako watakumulika kiasi kwamba watahakikisha wanaona mpaka ndani mpo wangapi![]()
Nimeitunza hii kwa screenshot mkuuHONGERA SANA MKUU UMEJITAHIDI SANA
Ukitudi mkuu usisahau kunichukulia wale dagaa wanaokaangwa moja kwa moja 0710701361
Niko serious mkuu