Hatimaye RunX imeingia Mwanza

Hatimaye RunX imeingia Mwanza

Youbettersleep

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2019
Posts
944
Reaction score
1,628
Ndugu wajomba leo ndio nimefika mwanza saa 1 asubuhi bila yowe lolote kwenye gari wala changamoto yoyote njiani sijapata.

Ila changamoto ni Mataa ya semi na mafuso usiku kidogo nihame njia, natamani kufunga zile taa zenye mwanga mkaliiii mweupe ili nikiwa narudi nisiteseke njiani.

Asanteni sana wakuu
Mimi na haka ka babe walker tumefika salama
 
Mtoa mada nakushauri Tu hata ufunge taa za namna gani bado usiku utapata shida Tu..... jitahid utembee mchana Tu Mimi nimefanya safari nyingi Sana za usiku Ila nimeacha kitambo sanaa na hizo mambo.

Mara nyingi safari za kutoka mwanzo kuja DAR naanza SAA 10 usiku ili asubuhi inikute nzega
 
Ndugu wajomba leo ndio nimefika mwanza saa 1 asubuhi bila yowe lolote kwenye gari wala changamoto yoyote njiani sijapata.

Ila changamoto ni Mataa ya semi na mafuso usiku kidogo nihame njia, natamani kufunga zile taa zenye mwanga mkaliiii mweupe ili nikiwa narudi nisiteseke njiani.

Asanteni sana wakuu
Mimi na haka ka babe walker tumefika salama
Zingatiaaa service ya gari mkuuu utajutiaa
 
Usithubutu kuweka hizo taa kali, pindi utakapoziwasha wakati unapishana na semi ukidhani nae amekiwashia taa kali, atakapoamua kukuwashia sasa taa zake kali utajikuta korongoni au uvunguni mwa kichanja
Kweli kabisa, asithubutu
 
Haujakutana na mabus aisee unaweza kupaki gari wale jamaa wanapiga full kama uwanja wa taifaView attachment 3416177
Dah hii kitu ilifanya niache kabisa safari za usiku. Madereva ma bus wakikupiga hiyo mbele huoni kitu. Ila pongezi za dhati kabisa ziende kwa madereva ma lorry hao jamaa wakikuona tu unakuja wanapunguza taa vizuri tu ila kama utakomaa na mitaa yako watakumulika kiasi kwamba watahakikisha wanaona mpaka ndani mpo wangapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom