Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,653
Lilikuwa ni suala la muda tu. Hatimaye imetiki. Pepsi imemvua ubalozi diamond , hivyo diamond ameondoa utambulisho rasmi wa yeye kama balozi wa pepsi Tanzania.
Sasa hapa inabidi nguvu nyingine itumike kuwashawishi serengeti nao wamtose ubalozi
Pia jambo lingine Diamond amefuta picha ya Samuya iliyobaki kwenye account yake.
Ikumbukwe diamond ilibidi aje apafomu siku Samia anaapishwa ila walimtosa kwa sababu alifuta picha za kampeni .
Kingine cha mwisho diamond followers wake wanazidi kupungua , mpaka sasa wapo milioni moja laki saba na elfu 20 ,hivyo mpaka kufikia jumanne atakuwa na followers 1.6M kushuka chini.
Kikubwa zaidi kama ulim follow hakikisha una m unfollow kisha una ripoti akaunti yake.
Sasa hapa inabidi nguvu nyingine itumike kuwashawishi serengeti nao wamtose ubalozi
Pia jambo lingine Diamond amefuta picha ya Samuya iliyobaki kwenye account yake.
Ikumbukwe diamond ilibidi aje apafomu siku Samia anaapishwa ila walimtosa kwa sababu alifuta picha za kampeni .
Kingine cha mwisho diamond followers wake wanazidi kupungua , mpaka sasa wapo milioni moja laki saba na elfu 20 ,hivyo mpaka kufikia jumanne atakuwa na followers 1.6M kushuka chini.
Kikubwa zaidi kama ulim follow hakikisha una m unfollow kisha una ripoti akaunti yake.