Hatimaye pepsi wamvua ubalozi Diamond Platnumz

Hatimaye pepsi wamvua ubalozi Diamond Platnumz

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,877
Reaction score
31,653
Lilikuwa ni suala la muda tu. Hatimaye imetiki. Pepsi imemvua ubalozi diamond , hivyo diamond ameondoa utambulisho rasmi wa yeye kama balozi wa pepsi Tanzania.

Sasa hapa inabidi nguvu nyingine itumike kuwashawishi serengeti nao wamtose ubalozi



Pia jambo lingine Diamond amefuta picha ya Samuya iliyobaki kwenye account yake.

Ikumbukwe diamond ilibidi aje apafomu siku Samia anaapishwa ila walimtosa kwa sababu alifuta picha za kampeni .

Kingine cha mwisho diamond followers wake wanazidi kupungua , mpaka sasa wapo milioni moja laki saba na elfu 20 ,hivyo mpaka kufikia jumanne atakuwa na followers 1.6M kushuka chini.


Kikubwa zaidi kama ulim follow hakikisha una m unfollow kisha una ripoti akaunti yake.
 
Woyoooh
20250901_230332.jpg
 
Hawa wanamuziki nyota hawapaswi kwenda kutumbuiza kwenye mikutano ya wanasiasa labda kungekuwa na chama kimoja tu.
 
Back
Top Bottom