The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,105
- 117,807
Wayatoe sasa na yale mapichapicha yake ya mabango huku anakunywa bia huku anakunywa soda anatuchukuliaje kwa mfano?Lilikuwa ni suala la muda tu. Hatimaye imetiki. Pepsi imemvua ubalozi diamond , hivyo diamond ameondoa utambulisho rasmi wa yeye kama balozi wa pepsi Tanzania.
Umesema kachoma picha ya nani kwenye akaunti yake? Alisema kwamba wenye degree hawana akili ila yeye ambae hana degree ndio mwenye akili... kuna watu wanajisahau sanaAtakula alipopeleka mboga.
maskini na wivu utawaweza hata ivo taarifa alioandika ni ya uongoKuuliza si ujinga jamani, hivi mwamba amefanya nini cha ziada kibaya mpaka ndugu yangu Mtanashati anamuandama hivi aloo!?
Huu uzi jf iliuweka jamiicheck naona ni habari ya kweli ndio maana wameitoa.Akili itamkaa sawa tu.
Mpuuzi.Huu uzi jf iliuweka jamiicheck naona ni habari ya kweli ndio maana wameitoa.
Sijui kwanini sijawahi mkubali Mond
Nimeanini ukizaliwa maskini si ajabu ukaendelea kuwa maskini........kwa mawazo haya diamond ataendelea kuwatia vidoleLilikuwa ni suala la muda tu. Hatimaye imetiki. Pepsi imemvua ubalozi diamond , hivyo diamond ameondoa utambulisho rasmi wa yeye kama balozi wa pepsi Tanzania.
Sasa hapa inabidi nguvu nyingine itumike kuwashawishi serengeti nao wamtose ubalozi
Pia jambo lingine Diamond amefuta picha ya Samuya iliyobaki kwenye account yake.
Ikumbukwe diamond ilibidi aje apafomu siku Samia anaapishwa ila walimtosa kwa sababu alifuta picha za kampeni .
Kingine cha mwisho diamond followers wake wanazidi kupungua , mpaka sasa wapo milioni moja laki saba na elfu 20 ,hivyo mpaka kufikia jumanne atakuwa na followers 1.6M kushuka chini.
Kikubwa zaidi kama ulim follow hakikisha una m unfollow kisha una ripoti akaunti yake.
Dogo inakuwaje, mzima?