Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Nimeiona hii kule BBCSWAHILi kuwa serikali sasa imetoa baraka kwa sumatra kufanya ukaguzi wa vyombo vya usafiri kule zanzibar na tayari meli tatu zimekwisha simamishwa kutokana na kutokuwa na sifa,
maoni: baada ya roho nyingi kuteketea ndo wametoka usingizini, inasikitisha mno.
maoni: baada ya roho nyingi kuteketea ndo wametoka usingizini, inasikitisha mno.