DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,596
- 3,845
Sasa kupata mpenz na hajatangaza ndoa bado wewe tyr ushakuja kutamba huku jamvini jaman kuna watu wanajua kujitengenezea maumiv 😂😂Uzuri nitakuja kulia tena hukuhuku, Labda mnifukuze🤒🤒😂.. Sitaki kufa alone
Umefutwa leo nimeutafuta asubuhi niseme nitalipa mimi tatu mzuka ili penzi liendelee sikuona uzi😳Mods wanavuka mipaka kwann wafute uzi ambao mtu anamsifia mpenzi wake 😂😂😂
Njoo tuanze maandamano
Aisee Bora niwe padri tu🤓, ya dunia Siya wezi🤓🤣🤣🤣
Intelligent businessman kuna mtu anakuchokoza huku
Aisee Bora niwe padri tu🤓, ya dunia Siya wezi🤓🤣🤣🤣
Intelligent businessman kuna mtu anakuchokoza huku
Kwa sasa hata iweje hawezi sema subiri kikiwaka tutajua mpaka sehemu walipo kutania siku ya kwanza😁😂😂😂😂 Uongo yupo humu, mpk umelileta hapa basi mlengwa tunaye na ujumbe wake kauona..!!
Sisi umbea tumesomea usitudanganye..!!
Wewe mtaje siku akizingua tukusaidie kumkausha damu
Hauna hela ya kunipa, nime panda thamani 🤓.Umefutwa leo nimeutafuta asubuhi niseme nitalipa mimi tatu mzuka ili penzi liendelee sikuona uzi😳
Utapata wakoNijikaze kisabuni au sio?
Kwa Sasa wakili naomba utulie🤓, amani irejee.😂🤣😁😁Kaka unakumbuka Uzi wa Intelligent businessman
Shida una kipara Kikubwa, Kama flampeni ya chapati🤓Nijikaze kisabuni au sio?
Kwanini ulitakaje?? Au ndio unafiki unaletaMbona kinyonge sana.
Wewe ni mchokozi unatafuta watu sana😂🤣😁😁Kaka unakumbuka Uzi wa Intelligent businessman kwa bidada kutoka mwanza lovelovie
Sijajua hayooMwamba aliandika na kuchora verse za mahaba mwishoni yakaishia akhera 😂🤣😁
Tatizo langu akil nyingi mpaka nywele zinapukutika. Na ni kawaida yetu sisi ambao tumezaliwa ku change the worldShida una kipara Kikubwa, Kama flampeni ya chapati🤓
Hebu njoo hapa Masae Garden,Kawe Tule kitimoto makange na UgaliWewe ni mchokozi unatafuta watu sana
Nitakulipa mara nne ya tatu mzuka kama utaniahidi utarudi kwa LovieHauna hela ya kunipa, nime panda thamani 🤓.
Wakili wangu Charles kilian, mwambie Huyu binti🤓
Asante ila mie nipo chuga Arusha ningekuja kuongea nakubadilishana mawazoHebu njoo hapa Masae Garden,Kawe Tule kitimoto makange na Ugali
Kwa ajili ya kutendwa mara mmoja??Aisee Bora niwe padri tu🤓, ya dunia Siya wezi🤓
Rudi hapa miaka miwili ijayo utupe mrejesho baada ya jamaa kula tunda inavyotakiwa.Kama kuna mtu ambaye maybe nilishakwambia nakupenda au nakupenda pia, am sorry zilikuwa ni stress tu🙏🙏 anayependwa kapatikana (na hili halihitaji maelezo). Am in Love🥰🥰❤️
Naijua hiyo, mtakuja sema mme nipa ghorofa🤓😁