Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking nachokiexperience sio nilichokidhania

hermanthegreat

JF-Expert Member
Mar 2, 2021
853
2,037
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.

Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?

Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!

Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.

Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "

don't learn to hack , hack to learn"​

any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa

Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.

Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.

Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.

Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.

Finally naweza sema kwamba

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great​

learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
 
Mkuu hacking is not easy kama watu wanavyo kuaminisha. Mimu kuna dogo anasoma cyber security anaingia mwaka wa pili alikuwa ananitisha na hacking nikamwambia hebu fanya majaribio kwangu. Email yangu nii, ip address yangu nii we nitakupa chochote hack na naishi naye. Ila ni zaidi ya mwezi hajaweza hata hack pc yangu wakati tunashare same network.

Halafu mkuu ku hack kitu yahitaji iwe na knowledge ya kutosha. Bila shaka wewe unajua basics tu za python wala hauko deep kivile wakati kuna watu humu wanajua programming language hata 3 na wako deep ila hawahack hata
 
Mkuu hacking is not easy kama watu wanavyo kuaminisha. Mimu kuna dogo anasoma cyber security anaingia mwaka wa pili alikuwa ananitisha na hacking nikamwambia hebu fanya majaribio kwangu. Email yangu nii, ip address yangu nii we nitakupa chochote hack na naishi naye. Ila ni zaidi ya mwezi hajaweza hata hack pc yangu wakati tunashare same network.
Halafu mkuu ku hack kitu yahitaji iwe na knowledge ya kutosha. Bila shaka wewe unajua basics tu za python wala hauko deep kivile wakati kuna watu humu wanajua programming language hata 3 na wako deep ila hawahack hata
Kweli mkuu
 
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.

Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?

Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!

Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.
Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "

don't learn to hack , hack to learn"​

any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa

Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.

Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.

Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.

Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.
Finally naweza sema kwamba

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great​

learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
Njia nyepesi ya kuwa hacker.. ni kujua mfumo kwa undani wake unavyo fanya kazi.. yani in and out.. Sasa tatizo nyie watalamu.. mnadumbukia kuanza taka hack mchongoo.. hata hujui mfumo wafanyaje kazi.. chukulia namna unavyopiga sound Ke.. ni sawa na kuipiga sound mfumo.. Pole.. lakini ... karibu tena uwanjani.. kwa mala ingine.. kwangu huwa navyofanya kazi.. na assume natongoza demu mkali.. lazima uwe na lugha nzuri na ya kuvutia
 
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.

Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?

Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!

Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.
Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "

don't learn to hack , hack to learn"​

any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa

Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.

Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.

Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.

Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.
Finally naweza sema kwamba

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great​

learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
It's all abt passion.
Wewe kuna a motive behind ambayo inaku-stress ufanye hiyo hacking. After all unapaswa kuwa very smart unapotaka kuwa hacker. Sio kila mtu anaweza kuwa hacker. It takes a dedication and commitment kuwa hacker. Pia unapaswa kuwa na resources za kufanyia hizo hacking and it's a bit expensive.

Wapo vijana wanaweza hata kuhack system za matokeo hapo chuoni mara kadhaa tumesikia huo ni mfano mdogo tu ambao unaonesha inawezekana.
 
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.

Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?

Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!

Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.
Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "

don't learn to hack , hack to learn"​

any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa

Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.

Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.

Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.

Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.
Finally naweza sema kwamba

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great​

learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
Thanks Mkuu kwa kukubaliana na matokeo.
Rudi kwenye njia tu za kienyeji, means utapeli wa kawaida tu, Mbona Watu tunapiga hela na maisha yanakwenda...
Pole kwa kupoteza muda wako Mkuu...😂😂
 
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.

Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?

Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!

Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.
Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "

don't learn to hack , hack to learn"​

any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa

Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.

Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.

Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.

Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.
Finally naweza sema kwamba

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great​

learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.

Hapo mwishoni ndiyo umehitimisha ulivyo!
Kwamba kiufupi huna kupaji!!!
 
Njia nyepesi ya kuwa hacker.. ni kujua mfumo kwa undani wake unavyo fanya kazi.. yani in and out.. Sasa tatizo nyie watalamu.. mnadumbukia kuanza taka hack mchongoo.. hata hujui mfumo wafanyaje kazi.. chukulia namna unavyopiga sound Ke.. ni sawa na kuipiga sound mfumo.. Pole.. lakini ... karibu tena uwanjani.. kwa mala ingine..kwangu huwa navyofanya kazi.. na assume natongoza demu mkali.. lazima uwe na lugha nzuri na ya kuvutia

Wewe hujui chochote kuhusu hacking!
Hata kuandika hujui, unaweza nini??!
...mala ingine ndio ushuzi gani?
 
Wewe hujui chochote kuhusu hacking!
Hata kuandika hujui, unaweza nini??!
...mala ingine ndio ushuzi gani?
0B26C6EA-567B-4C4D-BE83-A6129273D32D.jpeg
 
Njia nyepesi ya kuwa hacker.. ni kujua mfumo kwa undani wake unavyo fanya kazi.. yani in and out.. Sasa tatizo nyie watalamu.. mnadumbukia kuanza taka hack mchongoo.. hata hujui mfumo wafanyaje kazi.. chukulia namna unavyopiga sound Ke.. ni sawa na kuipiga sound mfumo.. Pole.. lakini ... karibu tena uwanjani.. kwa mala ingine.. kwangu huwa navyofanya kazi.. na assume natongoza demu mkali.. lazima uwe na lugha nzuri na ya kuvutia
upo sahihi mkuu , lakini technologia ya computer ni pana Sana , kufahamu exactly mfumo unafanyaje kazi inakupaswa angalau uwe na degree ya computer engineering plus miaka mingne ya kujifunza mwenyewe so ni upotevu wa mda
 
Back
Top Bottom