Hatimaye nimefanikiwa kuacha pombe

Hatimaye nimefanikiwa kuacha pombe

Mkuu shetani kanikamata nikiruka mkojo nakanyaga mavi. Bora ninywe niangalie plan B ya uhakika nikipata niache maana pombe inanigarimu nilienda kwenye kikao.cha harusi Ndugu wa mfanyabiashara mwenzangu baada ya kunywa nikaidi 500,000 mchango baada ya mwenzangu kuahidi 1,500,000 hasara nikubwa nikiandika Ni kitabu.

Kuna siku naanza biashara Kuna mtu nilikuwa namdai mda mrefu ile amenilipa nikafrai nikasema acha nitumie 50,000 maana alitoa 450,000 matokea yake nikaichoma yote saa nne usiku mpaka saa tano asubui.

Siku ingine nimetoka kwenye msiba nikatoa usafiri zile kurupushani maana usiku ulikuwa Kama.wangu Ni mtu nilikuwa nafanya nae kazi na kwao hamna hela nikatoa gari mbili ili zishughulikie msiba nikawa sijala hiyoo Ni saa Saba nikaenda kusaka msosi msosi unachelewa nikapiga vyombo mpaka naondoka saa 9 nikakamatwa na maaskari nikawatukana nikalala ndani. Yani pombe inanitesa lakina Bado sijapata mbadala
Achana nayo na ukiamua unaweza kama ulivyosema mwanzo ulivyoacha ulikua Malaya na sasa hivi acha tena ila uwe unatumia condom pombe itakulostisha mkuu
 
Kuwa mwaminifu
IMG-20191203-WA0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh..polen sana!usikubali pombe ikuendeshe..iendeshe wewe...wengine tunakaa hata 3mths..hakuna ht mzuka wa kupiga kilaji
 
Baada ya kuanza kunywa pombe nikiwa o level baada ya kuachwa na demu niliyempenda sana mpaka sasa nmemaliza Chuo Kikuu na nna miaka mitatu mtaani.

Nimeamua kuacha pombe rasmi baada ya kusimamishwa kazi kwa muda.

Kilichofanya niache ni baada ya mama mzazi kumwaga chozi hadharani.

Imeniuma sana so tulokuwa tunakunywa wote mtanisamehe. alamsiki
Uliipa nafasi pombe ikatawala maisha yako...
 
Tatizo jingine ukijichanganya kwa walokole kuna michango utafikiri unachangia ujenzi wa barabara ya lami

Sent using Jamii Forums mobile app


Ha ha ha ukiachana na pombe me huwa na tatizo la kusahau. Kuna siku nilienda kupiga vyombo parking ikawa ndogo nikapaki sehemu tofauti nahapo nilipokuwepo mziki ukaja wakati wakuondoka sinikasahau sehemu nimepaki nilianza kutafuta gari Kama natafuta hela.
 
Naunga mkono hoja na mimi jioni ngoja nikaumwagilie moyo na vichui mara ya mwisho mwisho.
 
Ha ha ha ukiachana na pombe me huwa na tatizo la kusahau. Kuna siku nilienda kupiga vyombo parking ikawa ndogo nikapaki sehemu tofauti nahapo nilipokuwepo mziki ukaja wakati wakuondoka sinikasahau sehemu nimepaki nilianza kutafuta gari Kama natafuta hela.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Baada ya kuanza kunywa pombe nikiwa o level baada ya kuachwa na demu niliyempenda sana mpaka sasa nmemaliza Chuo Kikuu na nna miaka mitatu mtaani.

Nimeamua kuacha pombe rasmi baada ya kusimamishwa kazi kwa muda.

Kilichofanya niache ni baada ya mama mzazi kumwaga chozi hadharani.

Imeniuma sana so tulokuwa tunakunywa wote mtanisamehe. alamsiki
Ukifikishaaa wiki NNE wasiliana na MKUU PDIDY
HUWA TUNAWAPAGA NANKUWATUNUKU VYETI VYA UAMINIFU NA KUWATAKIA KILA LÀ KHERI MAISHA YENU MAPYA BILA POMBE
 
Binafsiii niliponeaa kwa HUYUU br na maombiii aikuwaa rahisiii kabisaa na SASA Niko huruuu nimeonjaa sanaa mbiloo tatuu kwa wiki
Screenshot_20200309-114431.png
 
Mkuu endelea kunywa tu,ukiacha kunywa unahatarisha ajira za watu huko viwandani
 
Bado.hujaacha ,umepumzika tu wa madhira yaliyokupata mimi.nilikaa miaka kumi bila kuinywa na sasa nainywa,sababu nazijua mwenyewe.
Kuacha ni pale utakapo kufa,ukiwa hai unakuwa umepumzika tu
Baada ya kuanza kunywa pombe nikiwa o level baada ya kuachwa na demu niliyempenda sana mpaka sasa nmemaliza Chuo Kikuu na nna miaka mitatu mtaani.

Nimeamua kuacha pombe rasmi baada ya kusimamishwa kazi kwa muda.

Kilichofanya niache ni baada ya mama mzazi kumwaga chozi hadharani.

Imeniuma sana so tulokuwa tunakunywa wote mtanisamehe. alamsiki
 
Mkuu shetani kanikamata nikiruka mkojo nakanyaga mavi. Bora ninywe niangalie plan B ya uhakika nikipata niache maana pombe inanigarimu nilienda kwenye kikao.cha harusi Ndugu wa mfanyabiashara mwenzangu baada ya kunywa nikaidi 500,000 mchango baada ya mwenzangu kuahidi 1,500,000 hasara nikubwa nikiandika Ni kitabu.

Kuna siku naanza biashara Kuna mtu nilikuwa namdai mda mrefu ile amenilipa nikafrai nikasema acha nitumie 50,000 maana alitoa 450,000 matokea yake nikaichoma yote saa nne usiku mpaka saa tano asubui.

Siku ingine nimetoka kwenye msiba nikatoa usafiri zile kurupushani maana usiku ulikuwa Kama.wangu Ni mtu nilikuwa nafanya nae kazi na kwao hamna hela nikatoa gari mbili ili zishughulikie msiba nikawa sijala hiyoo Ni saa Saba nikaenda kusaka msosi msosi unachelewa nikapiga vyombo mpaka naondoka saa 9 nikakamatwa na maaskari nikawatukana nikalala ndani. Yani pombe inanitesa lakina Bado sijapata mbadala
Yaan tunafanana kila kitu! Yote uliyoyasema ndio yanayonitokea kasoro upande wa kuchovya. Nimeanza pombe rasmi mwaka 1998. Hapo kabla nilikuwa naonja onja.
Lakini mwaka huo ndio gari liliwaka rasmi. Sijawah kupitisha hata siku moja bila kupiga mma. Nna siku km 9 tangu nimeamua kuacha pombe sababu kubwa ni matumizi mabovu na maamuzi mabovu nikilewa.
Natumia pesa ndefu balaa, pesa itakayokuwa mfukoni nikiingia bar lazima iishe. Kwanza kwenye upande wa kuhimili tungi nipo vizuri napiga vyombo visivyo na idadi, af sipendi kuona mlevi mwenzangu anateseka
Hapo kabla sikuwa hivyo nahisi pombe imeamua kunikataa. Kuna uzi upo humu unazungumzia kuacha pombe niliusoma ukanipa ujasiri wakuamua kusema nimeacha tungi. Naamin naweza!
Shida ni kuwa sitakiwi kukatiza mitaa ya bar yoyote kwa kipindi hiki, bar nyingi hapa town wadau kibao. Sasa naanza maisha mapya!
 
Back
Top Bottom