Hatimaye nimefanikiwa kuacha pombe

Hatimaye nimefanikiwa kuacha pombe

baada ya kuanza kunywa pombe nikiwa o level baada ya kuachwa na demu niliyempenda sana mpaka sasa nmemaliza chuo kikuu na nna miaka mitatu mtaani. nmeamua kuacha pombe rasmi baada ya kusimamishwa kazi kwa muda. kilichofanya niache ni baada ya mama mzazi kumwaga chozi hadharani. imeniuma sana so tulokuwa tunakunywa wote mtanisamehe. alamsiki
Una muda gani tokea uache???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu shetani kanikamata nikiruka mkojo nakanyaga mavi. Bora ninywe niangalie plan B ya uhakika nikipata niache maana pombe inanigarimu nilienda kwenye kikao.cha harusi Ndugu wa mfanyabiashara mwenzangu baada ya kunywa nikaidi 500,000 mchango baada ya mwenzangu kuahidi 1,500,000 hasara nikubwa nikiandika Ni kitabu.

Kuna siku naanza biashara Kuna mtu nilikuwa namdai mda mrefu ile amenilipa nikafrai nikasema acha nitumie 50,000 maana alitoa 450,000 matokea yake nikaichoma yote saa nne usiku mpaka saa tano asubui.

Siku ingine nimetoka kwenye msiba nikatoa usafiri zile kurupushani maana usiku ulikuwa Kama.wangu Ni mtu nilikuwa nafanya nae kazi na kwao hamna hela nikatoa gari mbili ili zishughulikie msiba nikawa sijala hiyoo Ni saa Saba nikaenda kusaka msosi msosi unachelewa nikapiga vyombo mpaka naondoka saa 9 nikakamatwa na maaskari nikawatukana nikalala ndani. Yani pombe inanitesa lakina Bado sijapata mbadala
Duuh, polee kumbe ungekua tajiri sana, sasa kama umeshajua hizo losses, amua kutoka moyoni kuacha na ule upande mwingine wa kuchovya achana nao pia, jikeep busy na biashara zako + mambo mengine positive, hudhuria kanisani au msikitini kuna mafunzo kule, punguza kampani ya marafiki wanywa pombe wanashawishi sana. Spend muda wako na familia kama unayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuanza kunywa pombe nikiwa o level baada ya kuachwa na demu niliyempenda sana mpaka sasa nmemaliza Chuo Kikuu na nna miaka mitatu mtaani.

Nimeamua kuacha pombe rasmi baada ya kusimamishwa kazi kwa muda.

Kilichofanya niache ni baada ya mama mzazi kumwaga chozi hadharani.

Imeniuma sana so tulokuwa tunakunywa wote mtanisamehe. alamsiki
Pombe haiachwi kizembe hivyo! Hongera lakini.
 
KUACHA N UAMUZI
MPEPOLEMAMA MUNGU ANANJIA ZA KUKURUDISHA KWAKE UMJUE ZAIDI NA PENGINE UOKOE NA WALEVI WENZIOO KUPITIA HILI
 
Screenshot_20200309-094250.png
Screenshot_20200309-082814.png
FB_IMG_1583736183212.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1583736199221.jpg
    FB_IMG_1583736199221.jpg
    78.1 KB · Views: 6
  • FB_IMG_1583736118207.jpg
    FB_IMG_1583736118207.jpg
    13.6 KB · Views: 6
  • FB_IMG_1583735905387.jpg
    FB_IMG_1583735905387.jpg
    9.7 KB · Views: 6
ANAEJUA GUAVA
PENDASANA KULA HILITUNDAA UTAACHA AUTOMATIC
 
JINSI YA KUAVHA POMBE ZINAA
 

Attachments

  • VID-20200306-WA0038.mp4
    1.7 MB
Baada ya kuanza kunywa pombe nikiwa o level baada ya kuachwa na demu niliyempenda sana mpaka sasa nmemaliza Chuo Kikuu na nna miaka mitatu mtaani.

Nimeamua kuacha pombe rasmi baada ya kusimamishwa kazi kwa muda.

Kilichofanya niache ni baada ya mama mzazi kumwaga chozi hadharani.

Imeniuma sana so tulokuwa tunakunywa wote mtanisamehe. alamsiki
MKUU WA KITENGO CHA SAIKOLOJIA MRANGI
NJOOHUKU TUMPIME ANAPUMZIKA AMA KIMOJA
 
Mi nimewahi kuacha hata dili za hela zilikata, Nikaona isiwe tabu.
Mwezi huu tena nilitaka nipumzike mwezi kuanzia tar 01, cha ajabu siku ya pili tu tumekunywa kuanzia asubuhi hadi saa nne usiku.
Mpaka hapa nikiwa na akili timamu bila kushauriwa na mtu, nasema nitakunywa bia labda breweries wafirisike maana hizi pombe nyeupe kama maji siziwezi.
 
Back
Top Bottom