D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,160
- 3,259
- Thread starter
- #81
poleMkuu nawasiwasi na umri wako anyway Mungu akusaidie
poleMkuu nawasiwasi na umri wako anyway Mungu akusaidie
siwezi kuua mkuuRudi kwa wakili aliyekusaidia mwambie asome hapo...nazani ataelewa kuwa anatakiwà ajiandae kukusaidia katika kesi mpya inayokuja yA MAUAJI....jifunze kusahau na kusamehe utaishi kwa raha sana
usilaumu mtu sasahuwa nasafiri hata na zaidi ya hizo
Hivi na wewe umekuwa snared na hii chai mkuuAisee
pole sana kwa yaliyokukuta mkuu kikubwa ni uzima wako pesa hutafutwa
Mmh ni chaiHivi na wewe umekuwa snared na hii chai mkuu
wewe ni mjinga
simlaumu mtu namuonya huyu tapeliusilaumu mtu sasa
muache mtoto wa watuHivi na wewe umekuwa snared na hii chai mkuu
usijibizane na mjinga dadaanguMmh ni chai
umeongea point muhimuHuko Iringa, Mbeya, Songwe, Njombe, Sumbawanga na Songea kazi zao nyingi bila kuangalia jinsia wanategemea sana ushirikina na utapeli. Nawaomba mnaotafutia maisha hiyo mikoa kuweni makini sana na vidawa vya kuweka mdomoni. Ushirikina ni mwingi sana mikoa hiyo ili kufanikisha utapeli wao, mimi nimetapeliwa huko nakufahamu vizuri sana, umakini unahitajika sana bila kuangalia urafiki ulionao kwa mhusika
umenipa moyo bro nashukuru sanaBro kwa ushaur ninaokupatia kwanza ningependa kujua umri wako ila kama bado ni mdogo haina haja ya kupambana nae kwakuwa unamfahamu ni nani aliyekufanyia iko kidendo kwanza kabisa ujue hiko kitu kipo kiroho zaid kutokana na matatizo uliyokumbana nayo tangu hapo mwanzo kwa habari ya lesen kikamatwa na polisi mpka ajali cha msingi samehe tu alaf Mungu ata play part yake kwakuwa hakuna cha mwenye haki kikapotea may be kama na wewe ulidhulumu SAMEHEEE SAMEHEEE NA MUNGU ATA PLAY PART YAKE
umeandika kama msomiHasira ya nini ndugu yangu, ungedanganya watoto wenzako huko mtaani, mtu mwenye uwezo wa ufanya biashara na kuwa na kuwa na savings ya 45m lazima awe na Biashara nzuri na inayoendelea, sasa inaonekana wewe hiyo 45m yote ndo ilikuwa maisha yako, sasa kwa nini usiwe mwongo we mwongo?
Okeysimlaumu mtu namuonya huyu tapeli
Kuna mambo mengine tunamuhusisha Mungu mpaka anatushangaa.Usiseme hivyo bro,Kumbuka Mungu ana makusudi yake,mshukuru Mungu Kwa yote na pia umwombe akuyengenezee rizki nyingine,hao wabaya wote Mungu atawahukumu hapa hapa duniani na kesho wakifikwa na mauti pia watakuwa na kesi Kwa Muumba wao.nakushauri endelea kupambana na acha visasi,sisi wengine pia tulipitiaga mazito lkn tukamwachia Mungu na maisha yakasonga mbele.....Pole sana mkuu.