KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 4,598
- 4,197
Hii sukari ya jamaa ina ukakasikakasi fulani hivi.pole sana mkuu...ila kuna maswali umeniacha:ulikuwa kwenye usafiri binafsi ukielekea iringa kununua usafiri(binafsi) je uliponunua la iringa la binafsi ulilotoka nalo ars uliliwacha wapi,ulimlipa ray pesa yake lakini bado ukaendelea kuwa na pesa wakati unarudi ars je ni kiasi gani out of 45 ulizotoka nazo ars