Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,007
- 5,446
- Thread starter
- #21
Amen!Sasa umekua. Masingo father tuko wengi na maisha yanasonga. Kama ulivyosema cha muhimu ni kutafuta pesa na kuwekeza vizuri sehemu mbalimbali. Hata usipokuwa tajiri, mwanaume kuwa na uwezo wa kuwatimizia mahitaji ya msingi wanao pamoja na wewe mwenyewe ni muhimu sana.
Naam! Kwa sasa chapa kazi sana. Tunza hela zako. Walee wanao kwa upendo mkubwa wala usichukie wanawake wote. Hii ni changamoto tu unapitia. Na ukisimama imara katika misingi sahihi utashangaa hata huyu mtalaka wako akatamani kurudi huko mbele ya safari.
Mungu hatakuacha mkuu. I am rooting for you
Bro huyu mwanamke kanizimisha ndoto zangu nyingi saana hususani za kielimu na biashara. Nashukuru Mungu am free now I can move on!
Na nitapata maendeleo kweli kweli