Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Sasa umekua. Masingo father tuko wengi na maisha yanasonga. Kama ulivyosema cha muhimu ni kutafuta pesa na kuwekeza vizuri sehemu mbalimbali. Hata usipokuwa tajiri, mwanaume kuwa na uwezo wa kuwatimizia mahitaji ya msingi wanao pamoja na wewe mwenyewe ni muhimu sana.

Naam! Kwa sasa chapa kazi sana. Tunza hela zako. Walee wanao kwa upendo mkubwa wala usichukie wanawake wote. Hii ni changamoto tu unapitia. Na ukisimama imara katika misingi sahihi utashangaa hata huyu mtalaka wako akatamani kurudi huko mbele ya safari.

Mungu hatakuacha mkuu. I am rooting for you
Amen!
Bro huyu mwanamke kanizimisha ndoto zangu nyingi saana hususani za kielimu na biashara. Nashukuru Mungu am free now I can move on!
Na nitapata maendeleo kweli kweli
 
Dah pole sana mkuu, nimeheshimu sana busara yako uliokua nayo japo umepitia jambo zito ila hujaonesha dalili ya kumkufuru mungu wala kutokwa na matusi. Ila huwezijua mungu amekuepusha na nini kutoka kwa huyo mkeo, pengine mungu amekuepusha na maradhi au kifo (Kuuliwa Kwa Sumu n.k).

Leo nimeamini ile kauli "Mke mwema ni kuku peke yake, kwasababu hulea vifaranga vyake bila kumtegemea wala kumsumbua kwa lolote jogoo".
Swala la maradhi mpaka sasa sielewi maana alikua ananizuga kunipa sex every day hadi kwenye hedhi ili kunifumba macho niamini kakolea nikaumwa balaa.... Sijui itakuaje ila binafsi kwakua nilitulia kwenye ndoa Mungu atanisaidia
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida.

Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.

Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.

Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.

Sasa amepata mwanaume mwingine na amendhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe Nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.

Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.

Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.

Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!

#Mwanamkemkwelinimamayakotuu
Ndo maana nasema Ronaldo hajakosea kabisa
 
Swala la maradhi mpaka sasa sielewi maana alikua ananizuga kunipa sex every day hadi kwenye hedhi ili kunifumba macho niamini kakolea nikaumwa balaa.... Sijui itakuaje ila binafsi kwakua nilitulia kwenye ndoa Mungu atanisaidia
Nina rafiki yangu wa karibu, sio kuhadithiwa ni kushuhudia, alifanyiwa vituko hivo vya kufanya tendo la ndoa mpaka siku za hedhi kwa miezi 8 mfululizo. Siku walipoachana yule mwanamke akamtumia kipimo chake alichopima miezi 8 nyuma cha HIV kikisoma ameathirika pamoja na tarehe. Na akamuambia hakuanza dose za ARV kwa makusudi ili amgawie na yeye hayo maradhi.

Jamaa alichanganyikiwa akawa anaongea peke yake, ndugu na marafiki ilibidi tusaidiane kumpeleka kwa daktari wa saikolojia akatibiwe. Dokta alifanikiwa kumshawishi apime ili ajitambue kama ni muathirika aanze kutumia dawa, baada ya kupima kipimo kilitoka HIV NEGATIVE. Baada ya mwezi mmoja akapima tena akakutwa HIV NEGATIVE. Baada ya miezi mitatu akapimwa tena akakutwa HIV NEGATIVE.

Na yeye akamtumia vipimo vyote yule aliekua mke wake, haikupita miezi mitatu yule mwanamke alikonda na kuwa kama mdoli.

#Mungu yupo, halali wala hapumziki, na anawalinda waja wake kwa njama mbaya.
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida.

Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.

Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!

#Mwanamkemkwelinimamayakotuu
Pole sana najua hio kitu inauma.... Jikaze tu ndo uanaume huo. Kinachouma zaidi watoto but fikiria kwanza, bado nafasi zipo keep it up songa
 
Kama ulikua hujui basi tambua kufunga ndoa kwa mwanaume sasa ni bonge la risk

Maana wanawake wengi kwa sasa hawana hisia za upendo na hata malezi yao ni mwendo wa kujazwa sumu juu ya wanaume mpaka wanapoolewa ndio maana huwezi kuta mwanamke anamsema positive mme wake in public

Kwa sababu wanaingia kwenye ndoa kama anaingia vitani sasa wewe unakuja kiamani lazima tu upigwe na akili zako za 90
sisi bachera huo mchezo tushausoma tangu zamani sana ndio maana tumequit ndoa

Yote kwa yote pole mkuu unachopitia ila zangati kwa sasa achana kusikiliza na kuangalia vitu vinavyohusiana na mapenzi ili ujiweke sawa kwanza
 
Kila siku tunawahubilia humu kuwa mwanaume jipende kwanza wewe ....ndugu zako ni hao wanao ..... Huyo mkeo muda wowote kama alikua Mke Wa Juma basi anakua Mke Wa john hamuelewi na kutuona sisi ni wambea tunachonganisha ndoa zenu.

Narudia tena
Mwanaume simamia sana ulicho nacho dhidi ya mkeo ....maana hiyo ndio faraja yako na nguvu yako kwa huyo mkeo , hawa wanawake sio watu wazuri ni kama Bomu muda wowote linalipuka Ila ndio haijulikani SAA ngapi .
 
pole sana mkuu, lakini mimi kaa mtaalamu wa mambo ya ndoa na mambo kaa hayo, nimesikia upande wako tu, siwezi kusema lolote kabla sijasikia toka kwa aliyekuwa mwenza wako, i mean your x, i am someone who never ever allows my emotions to overide my knowledge and intelligence, so ningependa sana kwanza kusikia toka kwa your x kabla ya kusema lolote, naona watu wanakupa pole, lakini mimi i came to conclusions and make rulings after i hear from both parties, its unfair to hear from only one side
Kwahiyo amlete mke wake jf aje aseme jambo?
 
Back
Top Bottom