malivawan10
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 541
- 310
Hatimaye mwizi wangu niko mbioni kumpata baada ya kuendelea kutumia lain yangu na ipo hewani hadi sasa baada ya kujua hilo nimejitahidi kutumia nguvu ya msichana aongee nae.
Sasa jamaa eti amemtongoza, mie ilikuwa sio nia kumkamata leo nilitaka nitumie ujanja mwingine sasa katongoza na manzi kasema ataonana naye leo.
Je, nimfanyeje kwa kuwa mie ni binadamu?
Je, sheria ifuate au msamaha?
Sasa jamaa eti amemtongoza, mie ilikuwa sio nia kumkamata leo nilitaka nitumie ujanja mwingine sasa katongoza na manzi kasema ataonana naye leo.
Je, nimfanyeje kwa kuwa mie ni binadamu?
Je, sheria ifuate au msamaha?