wangeyamaliza kifamilia kama aliyebakwa ni FLORA mwenyewe lakini kwa kuwa aliyebakwa ni MTOTO WA MIAKA 17, hili suala liko nje ya familia.
Thank you! Sheria ni msumeno! Kama kabaka kweli sheria ichukue mkondo!
Na kama ikithibitika hakubaka naye achukue hatua za kisheria dhidi ya washitaki wake!
Na kama ana madai ya Gwajima kutembea na mke wake afungue kesi ya madai akiwa na ushahidi wa mkewe kulipiwa chuo UK, picha na videos au voice clips za mapenzi baina ya mkewe na Gwajima na ushahidi mwingine wowote ili sheria ichukue mkondo dhidi ya wanandoa wasio waaminifu! Au kuomba talaka na kulipwa fidia!
Kuropoka bila ushahidi ni kutafuta public sympathy isiyoweza kukusaidia kisheria!