jerrytz
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 5,980
- 4,284
Mkuu ungetupa source kuwa umepata kwenye chanzo gani cha habari au umeweka ili mradi watu wapige blah blah ungetupa source si vibaya ndugu.
Mkuu ungetupa source kuwa umepata kwenye chanzo gani cha habari au umeweka ili mradi watu wapige blah blah ungetupa source si vibaya ndugu.
Mtambo huu unafanya kazi kwa style ya kupanga magari kama mtu anavyopanga vitabu kwenye makabati ya maktaba. Infact eneo linalotumika kupaki magari 20 sasa linaweza kutumika kupaki magari 500 na zaidi. Tena parking hiyo ni invinsible kwani kinachoonekana ni ule mdomo wa kupokelea magari kwani yote yanahifadhiwa underground na open space hubaki juu kwa akili ya watu wa kupumzika. Vodacom kazi ni kwako!
Sasa humu kwa mfano ikitokea tetemeko kapasso kangu ndo kameenda hivyo hii hapana ntapaki humuhumu pa kawaidaMtambo huu unafanya kazi kwa style ya kupanga magari kama mtu anavyopanga vitabu kwenye makabati ya maktaba. Infact eneo linalotumika kupaki magari 20 sasa linaweza kutumika kupaki magari 500 na zaidi. Tena parking hiyo ni invinsible kwani kinachoonekana ni ule mdomo wa kupokelea magari kwani yote yanahifadhiwa underground na open space hubaki juu kwa akili ya watu wa kupumzika. Vodacom kazi ni kwako!
![]()
![]()
![]()
![]()
Sure? Arusha sehemu gani?Mtambo wa parking unaotumia umeme mbona na Arusha mjini niliuona. Sikumbuki ni mtaa gani, ila mtambo huo Arusha upo.
Arusha iyo parking ipo karibu na NBC bank jengo linalofata..ukiiona kwa mara ya kwanza lazima ushangae....
Sure? Arusha sehemu gani?
Basi bora awe anatumia tu generator fully timeUmekariri umeme tu...inamaana mtu atafunga system kubwa ivo aache kufunga generator ya backup?
% nyingi nakubaliana na wewe.Mambo kama haya yatatokea miaka mia ijayo iwapo tu sisi kizaz cha watanzania wa sasa tukibadilika kwa ajil ya hicho kizaz cha baadaye. Tatizo hatubadiliki tunarithishashana umbumbumbu. Na jinsi miaka inazid kwenda umaamuma wetu unakubuhu na kuintesify. Nyambaff zetu!!!
Sasa kwanini hawakuijenga Dar ambapo ndio demand hasa ilipo..?! huyo jamaa alikuwa na wazimu?Jengo la MEGA COMPLEX maeneo ya jirani na Stendi kuu ya mabasi ya mikoani. Jengo liko mtaa ule wa Pallsons hotel ukipita soko kuu km unaenda uwanja wa mpira.
Hiyo parking jamaa aliwaza mbali sn. Mwanzo kila mtu alikua anaogopa kupaki hapo. Ila pia ilikua gharama. Sku hizi naona anachaji 2000 km sikosei kwa siku.
Ajabu Dar hawana. Ubunifu (ofcoz sio wa mtambo) si hadi uwe tajiri wallah....
MkuuMkuu ungetupa source kuwa umepata kwenye chanzo gani cha habari au umeweka ili mradi watu wapige blah blah ungetupa source si vibaya ndugu.
Sasa kwanini hawakuijenga Dar ambapo ndio demand hasa ilipo..?! huyo jamaa alikuwa na wazimu?
Inatakiwa iwepo pia UPS SYSTEM kama load ni AC au RECTIFIER SYTEM kama load ni DC. standby genset utakuwa na total outage during changeoverKunakuwa na automatic standby generator..
Nitauza na kuhamia DarDon, kwani we ukiwa na kiwanja Dodoma utajenga Dar?
mbona hiyo paking ipo Arusha kalibu na bank ya NBC kitambo sana.Haitakaa itokee!
Nitauza na kuhamia Dar