Hatimaye: Mtambo wa kupaki magari watengenezwa

Hatimaye: Mtambo wa kupaki magari watengenezwa

Sasa kwanini hawakuijenga Dar ambapo ndio demand hasa ilipo..?! huyo jamaa alikuwa na wazimu?

mega complex amejenga jengo la ghorofa 9 chini kuna bank ya nbc n juu maofisi.....kuweka hiyo parking y umeme ilikua n muhimu mana eneo za parking ni dogo ndio mana akaweka hiyo ya umeme.....miji mingi inakua kwa kasi n wazawa wanajitahidi kuwekeza
 
QUOTE="KIOO, post: 11386395, member: 129511"]Mkuu ungetupa source kuwa umepata kwenye chanzo gani cha habari au umeweka ili mradi watu wapige blah blah ungetupa source si vibaya ndugu.[/QUOTE]cheki movie mission impossible iv:ghost protocol inaonyesha jinsi huo mtambo unavyopiga kazi
 
Tunatamani maendeleo ya vitu vizuri ila nafsi za wenye dhamana huzidiwa na tamaa binafsi, so ni mwendelezo wa ndoto za wana Tz.
 
Back
Top Bottom