Hatimaye: Mtambo wa kupaki magari watengenezwa

Hatimaye: Mtambo wa kupaki magari watengenezwa

Kuna moja hivi iko mjini kati pale karibu na Hindu Mandal au Burhan kama sikosei ni Parking ya Mustapha Sabodo bei ni Tsh 500 kwa saa. Nayo ni Parking nzuri pia.
 
Kuna moja hivi iko mjini kati pale karibu na Hindu Mandal au Burhan kama sikosei ni Parking ya Mustapha Sabodo bei ni Tsh 500 kwa saa. Nayo ni Parking nzuri pia.
ni ya mechanical system Kama Huyo?
 
Sisi kwanza tunatengeneza daraja la DSM to ZNZ kisha tutaugeukia huo mtambo.
Hivi kuna movement/biashara gani ya ajabu kati ya bara na zenji mpka wamwage mihela mingi namna hiyo baharini then tunaacha kufunga mitambo muhimu kama hii..??! hivi huyu Dau amerogwa?!
 
Hivi kuna movement/biashara gani ya ajabu kati ya bara na zenji mpka wamwage mihela mingi namna hiyo baharini then tunaacha kufunga mitambo muhimu kama hii..??! hivi huyu Dau amerogwa?!

Mambo ya SiriKali sikivu hayo kaka mkubwa. Daraja litadumisha muungano ahaha.
 
Bahkressa ndio anamalizia kutengeneza mtambo wake pale mitaa ya Livingstone Kariakoo..., utakuwa unapaki magari kama mtu anavyopanga vitabu kabatini
 
Back
Top Bottom