kipenga
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 219
- 55
- Thread starter
- #41
wakuu naomba niweke mkazo kwenye maana ya neno TETESI, yawezakana ikawa kweli au lah! ya2pasa tuwe na subira watanzania.
Taarifa za kiintellengincia zilifika jeshi la police kwamba watuhumiwa walikuwa wanaelekea Zanzibar kwakutumia chombo hicho cha majini. ndio maana jeshi la police wakishirikiana na mshatikiwa aliyepatikana wakaamua kwenda nae ili kama ni taarifa sahii au lah baada ya kuangalia zile maiti zilizo opolewa, na mambo yakawa hivyo
Taarifa za kiintellengincia zilifika jeshi la police kwamba watuhumiwa walikuwa wanaelekea Zanzibar kwakutumia chombo hicho cha majini. ndio maana jeshi la police wakishirikiana na mshatikiwa aliyepatikana wakaamua kwenda nae ili kama ni taarifa sahii au lah baada ya kuangalia zile maiti zilizo opolewa, na mambo yakawa hivyo