Hatimaye Mbowe apewa dhamana

I think hakutegemea haya yote!

kuna mahakimu na majaji sio wa kuwachezea kabisa!! wana misimamo mikali sana.

At least watu waone tofauti ya siasa, askari na mahakama!

Wewe ndio hujui kabisa kilichoendelea!
 
Funzo ameisha lipata, nadhani sasa akisikia wito wa mahakama atakimbia kama upepo ! Dola dola dola si mchezo

Ukisikia akili za kuokota makopo ndio hizi zako; kwani hujui kwamba Mbowe siyo mara ya kwanza kulala rumande? Kwa kukuondolea utabularaza ni kwamba tarehe 5/1/2011 Mbowe alilala rumande pia kwa hiyo usifikiri yeye ni mgeni sana wa maeneo hayo. Unatakiwa upate ukombozi wa kifikra kama mwenzako akikamatwa unashangilia. Wewe usipoingia rumande kisiasa utaingia kwa kubambikiwa kesi ili tuone ni funzo gani utatoka nalo.
 
watu ni wengi sana..lema anaondoka kwa pikipiki..

Awe makini sana na aina ya usafiri huu, maana wabaya wake ni rahisi sana kummaliza kwa style yankumtumbukiza kwenye mtaro. Au yaka mtokea yaliyompata mpambanaji wetu Pasco.
 

What you are suggesting is that government do not need to punish law breaker because after punishment the government will be a looser!!!

Million dollar question that you were supposed to start with at least to show your maturity is

0. what made Mbowe not to appear in the court hearing??

6. what made Slaa to attend in the same court hearing??

jamani kuna vitu kuvitetea ni aibu!!
 
waandishi kamuulizeni huyo jamaa anazungumziaje kuhusu mahabusu aliyokuwa amepozi. Na muulizeni amejiandandaje next time
 
Tusitetea Mbowe kuvunja sheria kwa kisingizio cha Chenge, CDM ni chama kinachotegemea kuchukua DOLA hatutegemei kifanye kama MAGAMBA, Hapo mwenyekiti ameharibu sana jamani! Lazima cdm iwe ndo chama cha kufuata sheria tumechoka na magamba sasa cdm inataka iwe magamba part 2.
 
Utekelezaji wa sheria huwa hautizami gharama wewe, na isitoshe Mbowe alipewa lifti tu kwani ndege ya serikali ilikuwa yaenda arusha , teh teh teh !
Kama imekuuma mbowe kuachiwa saga chupa unywe! Kafie mbele na magamba yenu, waoga wakubwa nyie, mmeshndwa kuwakamata mapacha wa3 mnakamata wasio na makosa! Mbowe alkuwa na silaha gan mpaka abebwe na helkopta ya jeshi, ulinzi wote ulkuwa na haja gani?? Mnafanya mambo ya kitoto afu hamjiamini. Aibu!!
 
Serekali na liziziemu wametukosesha fursa ya kuangusha serikali, kwa nini wamemwachia mbowe kirahisi hivyo?
 
Afu akakuta njiti ziko za kutosha! Hahahahaha! Aende akapeleke salam kwa hao waliomtuma kuwa A'town ni noma, hawajarbiwi na hawaogopi mafisadi. Tulijiandaa vya kutosha wana bahati.

Muhurumieni kiongozi wenu amelazwa sakafuni, amenyea ndoo na amesafirishwa usiku wa manane usingizi hakulala wakati wewe unakoroma ! amekuwa ifected kisaikolojia vibaya sana , na hana heshima tena mbele ya watu wenye akili timamu
 
 
Muhurumieni kiongozi wenu amelazwa sakafuni, amenyea ndoo na amesafirishwa usiku wa manane usingizi hakulala wakati wewe unakoroma ! amekuwa ifected kisaikolojia vibaya sana , na hana heshima tena mbele ya watu wenye akili timamu


hawalioni hili!

Mkuu TT

hakwenda haja siku hizi mbili mkuu?

swali je alikuwa na wafungwa wengine au peke yake??
 
Nimependa msimamo wa dr.SLAA, Mbowe asipoachiwa hamtatuona bungeni jumanne. Sasa govt.ikafikiria bila kuwa na hoja ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni,kanuni hazitatimia. Pia wakaogopa na maandamano ya kumtoa nyoka pangoni. Hapo wakasarenda. Iyo ndo nguvu ya umma bwn!
 
Reactions: FJM

Hapa unamaanisha hakuna mfungwa hata mmoja magerezani, au unatakaje yaani? Kwa kuwa kuna wezi, ufisadi na blah blah basi na Mbowe na aachiwe avunje sheria? Mimi nilidhani kwenye system kama hii ambayo wewe unataka kuibadili ni bora uiprove otherwise na kuifuata sheria ili hata unaotaka kuwashawishi kuwa kufuata sheria inawezekana wakayaona hayo kwa vitendo.
 
Gharama nyingi zilizotumika zingefanya shughuli nyingine. Hivi nguvu hizi si singeelekezwa kutafuta majambazi na mafisadi?
Wenyewe ndo majambazi namba moja, watakamata majambazi gani tena? Hawana huo uwezo, uwezo wao mkubwa na wa mwisho ni kuwatisha wapigania haki Tz.
 

Mkuu umenikumbusha na ile Kesi ya DIBAGULA wa Morogoro, aliyehukumiwa kifungo cha miaka mitano kwa kusema YESU SI MUNGU, kasheshe yake ilikuja amuliwa na mahakama kuu Dar baada ya watu kupigwa mabomu sana. Sijui kwa nini huwa hatujifunzi!
 
Hivi kuna haja gani ya kuwa na thread tatu zinazozungumzia kitu hicho hicho? Mods mko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…