mi_mdau
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,113
- 1,503
Hichi kitu nilishawahi kukigusia miaka 4 iliyopita Mazda kwanini hazipendwi Tanzania ilhali bei yake ipo chini?
Na nilibahatika kununua ya Petrol , ijapokuwa ya petrol bei yake imechangamka kidogo ila ni gari zuri la kuishi nalo kwa upande wa safari nimeenda nalo Moshi 2 tymes wese ni ni mnuso na spidi ni mwendo wa ngiri
Cc ngapi, 2000 au 2500?