Hatimaye maji yaanza kutoka Kimara na Ubungo

Hatimaye maji yaanza kutoka Kimara na Ubungo

Wakuu kutokana na waziri wa maji na wizara nzima kumgwaya Mnyika maeneo ya Kimara na Ubungo yameanza kutoa maji usiku wa kuamkia leo.

Maeneo hayo ni maeneo sugu kwa tatizo la maji jijini Dar.

Hii ni kwa mujibu wa HOT MIX ya eatv jioni hii.

Shikamoooooo....John Mnyika
Wamebana lakini wameachia wenyeweee.
Source:EATV

Hizo ni ahadi za JK kupitia ilani ya chama zinaanza kutekelezwa wala Mnyika ahusiki na lolote.
 
jana nimenunua maji ya shilingi alfu kumi na saba madumu 17. mabomba yapo hadi ndani lakini hayatoi maji. inauma sana aisee.
 
Miaka 52 ya uhuru wimbo kila siku ni maji maji maji hivi tukiachana na huu upuuzi wa masisiem watanzania mnashindwa nini kweli?
 
Maji mnayosema yanatoka mtaa gani jamani?

Nashangaa itakuwa kuna jibaba kapita kakojoa kojo refuuuuuuu jamaa akadhani maji!
Nimetoka Kimara baruti saa 12 na Nusu sijakuta hata michirizi kuwa maji yalipita pamoja na kua ha Bomba takribani miezi 3 sasa!
 
Yule mdada wa magamba(mamdenyi) mchoteeni ndoo moja akaoge maana hajaoga hii wiki ya 3.

Leo Mamndenyi lazima aogeshwe kwa NGUVU, tumechoka na excuse zake kwamba haogi kwasababu Ubungo hakuna maji. Lakini huyu huyu ndiye anashinda mitandaoni kuwatetea CCM waliopewa jukumu la kuwapatia Watanzania maji not to mention other social services
 
Leo Mamndenyi lazima aogeshwe kwa NGUVU, tumechoka na excuse zake kwamba haogi kwasababu Ubungo hakuna maji. Lakini huyu huyu ndiye anashinda mitandaoni kuwatetea CCM waliopewa jukumu la kuwapatia Watanzania maji not to mention other social services

Hahahaha! Tena inabidi aoge mchana kweupe
 
Hizo ni ahadi za JK kupitia ilani ya chama zinaanza kutekelezwa wala Mnyika ahusiki na lolote.

Hahahahh....ahadi za mwaka 2010 zinaanza kutekelezwa 2014 kuelekea 2015...!!!! Tanzania Tanzaniaaa.....nakupenda kwa moyo wote.....nchi yangu Tanzaniaaa....jina lako ni tamu sana.......
 
Back
Top Bottom