kuchangumu
JF-Expert Member
- Apr 2, 2014
- 724
- 290
Wakuu kutokana na waziri wa maji na wizara nzima kumgwaya Mnyika maeneo ya Kimara na Ubungo yameanza kutoa maji usiku wa kuamkia leo.
Maeneo hayo ni maeneo sugu kwa tatizo la maji jijini Dar.
Hii ni kwa mujibu wa HOT MIX ya eatv jioni hii.
Shikamoooooo....John Mnyika
Wamebana lakini wameachia wenyeweee.
Source:EATV
Maeneo hayo ni maeneo sugu kwa tatizo la maji jijini Dar.
Hii ni kwa mujibu wa HOT MIX ya eatv jioni hii.
Shikamoooooo....John Mnyika
Wamebana lakini wameachia wenyeweee.
Source:EATV