masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,625
- 14,591
Anamgwaya Mnyika?Wakuu kutokana na waziri wa maji na wizara nzima kumgwaya Mnyika maeneo ya Kimara na Ubungo yameanza kutoa maji usiku wa kuamkia leo.
Maeneo hayo ni maeneo sugu kwa tatizo la maji jijini Dar.
Hii ni kwa mujibu wa HOT MIX ya eatv jioni hii.
Shikamoooooo....John Mnyika
Wamebana lakini wameachia wenyeweee.
Source:EATV
Mkuu unaumwa kichwa, kwani wananchi wa Kimara ni wanyarwanda.
Au hawastahili maji isipokuwa kwa kumfadhili Mnyika?
Nimaeneo mengi tu maji hakuna jini hapa Dsm, kwa hili, ndugu hustshili uthinka!