Mi discovery napenda ile ya, Food production,. Maviwanda yanavyotengeza vyakula mbalimbali
Kwa sababu maisha ya kijamii yametawaliwa na siasa.........hata kama wataalamu watatoa maelekezo au ufafanuzi, mwishoni lazima waje wanasiasa waongee kwa sababu wanaaminika sana na watu kutokana na kwamba wamewachagua kwenye hizo nafasi za kisiasa wawasemee na kuwatatulia changamoto zao.
ITV channel no 383
Mi mbona sioni na nimelipia compact mazee. Au tufanye aje??ITV channel no 383
Sheria iliyotumika kuondoa hizo chanel ilikua ni sheria yakirasimu.Tanzania tuna ujinga wetu wenyewe ambao ukiufwatilia sana utaona jinsi ambavyo unatufanya tuwe nyuma kwenye mambo mengi.Nchi zote zinazotuzunguka chanel zao za ndani unazipata dstv ila hapa bongolala tukaziondoa kwasababu ambazo hazieleweki.Tunaacha kutanua wigo wa mambo yetu kufika mbali duniani ili kukuza ushindani tunabaki kuweka vikwazo visivyo na faida.Nampa hongera huyo aliyeona kuna haja yakuzirudisha.Maana bila ushindani na kujitangaza duniani kamwe hatuwezi kufika mbali.Tutabaki kua taifa lakinyonge lisilo na mbele wala nyuma.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hivi kwa nini zilizolewa?
Mimi ni 171 IDx, na kwenye geographic kile banged abroad.
Kunq ma channel flani pale uwa wanaonyesha mambo ya watu wanagombanisha robots uwa napenda kiasi. Na aljazeera pia
Itv 383Dstv waje wajibu
ITV
EATV
CAPITAL TV
CHANNEL 10+
STARTV
Lin zitarud
Afu pia Dizzim tv wafanye mpango nayo iwepo
ITV 383Clouds tv - 387
Channel 10 - 386
Nyingine zinakuja
nakunyoja hapa utujulishe kama kweli
ndioUnamnyoja dah
Hizo ni chanel za nchi gani?Ninaomba pia Azam Sports 1,2 na 3 zirudi DSTV.
Sheria iliyotumika kuondoa hizo chanel ilikua ni sheria yakirasimu.Tanzania tuna ujinga wetu wenyewe ambao ukiufwatilia sana utaona jinsi ambavyo unatufanya tuwe nyuma kwenye mambo mengi.Nchi zote zinazotuzunguka chanel zao za ndani unazipata dstv ila hapa bongolala tukaziondoa kwasababu ambazo hazieleweki.Tunaacha kutanua wigo wa mambo yetu kufika mbali duniani ili kukuza ushindani tunabaki kuweka vikwazo visivyo na faida.Nampa hongera huyo aliyeona kuna haja yakuzirudisha.Maana bila ushindani na kujitangaza duniani kamwe hatuwezi kufika mbali.Tutabaki kua taifa lakinyonge lisilo na mbele wala nyuma.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app