[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama hauna hata kifurushi cha dstv poa cha elfu tisa basi chaneli utakayoina ni TBC tu.
Okay mkuuNtakujuza maana ndio zinarudishwa mkuu zimerudi mbili kwanza
Mambo yao ya ushindani wa kibiashara, DSTV vs AZAM na STAR TIMES, inasemekana hao Azam na Startimes walikolabo kumbana dstv kuwa anaonesha channel za bure kwa kuziuza maaana ili mtu aone hizo channel kwenye dstv ni lazima alipie, kwa hiyo kwa DSTV channel hizo haziwi FTA tena bali za kulipia. Wao wakawa wanakomaa kuwa leseni zao ndio zinaruhusu wao pekee kuonesha channel hizo, mlango wa nyuma ni kuwa wateja wengi wanauelewa ubora wa picha wa DSTV kwa hiyo wakipata na hizi local channel watahamia mazima kwenye DSTV na kuyumbisha soko la startimes na azam, hasa ukizingatia DSTV ndio kisimbuzi kinachouzwa bei nafuu kuliko vingine vyote.Hivi kwa nini zilizolewa?
Mkuu, kwako wewe Channel za maana ni zipi??Channels za mabeki tatu hizo, mtu timamu unaangalia kipindi gani huko?
Unasema kuwa Clouds Tv ina picha nzuri ikiwa Dstv kuliko inavyokuwa ikiwa Azam?.Mambo yao ya ushindani wa kibiashara, DSTV vs AZAM na STAR TIMES, inasemekana hao Azam na Startimes walikolabo kumbana dstv kuwa anaonesha channel za bure kwa kuziuza maaana ili mtu aone hizo channel kwenye dstv ni lazima alipie, kwa hiyo kwa DSTV channel hizo haziwi FTA tena bali za kulipia. Wao wakawa wanakomaa kuwa leseni zao ndio zinaruhusu wao pekee kuonesha channel hizo, mlango wa nyuma ni kuwa wateja wengi wanauelewa ubora wa picha wa DSTV kwa hiyo wakipata na hizi local channel watahamia mazima kwenye DSTV na kuyumbisha soko la startimes na azam, hasa ukizingatia DSTV ndio kisimbuzi kinachouzwa bei nafuu kuliko vingine vyote.
Mkuu, kwako wewe Channel za maana ni zipi??
Unasema kuwa Clouds Tv ina picha nzuri ikiwa Dstv kuliko inavyokuwa ikiwa Azam?.
Sikubaliani na wewe.
Ww kumbe ni sifuri, alafu unaita hizo channel za mabeki tatuUnabishana?
Ww kumbe ni sifuri, alagu unaita hizo channel za mabekitatu
Lakini nilichoandika umekielewa, ITV EATV Star TV mbona hujazitajaTulia beki tatu jifunze walau kuandika kwanza, huko TVE sijui WasafiTV sijui CloudsTV kuna vipindi gani vya kutazama mtu timamu?
Vipi kuhusu National Geographic, Discovery channel?Channels za mabeki tatu hizo, mtu timamu unaangalia kipindi gani huko?
Hakuna cha bure mkuufafanua zinarudije? mpaka kiwe kina package/ bundle ama hata kama hakijalipiwa local chanel ntaziona?
Vipi kuhusu National Geographic, Discovery channel?
Hapana nimekuuliza vipi kwa wanaotazama hizo kwani vita mkuu?Hizo pia ni local channels?
Lakini nilichoandika umekielewa, ITV EATV Star TV mbona hujazitaja
Alafu we juha HD sio kingamuzi HD ni Channel n
Hapana nimekuuliza vipi kwa wanaotazama hizo kwani vita mkuu?
utanisanua akitajaItv
Eatv
Chanel 10 plus
Startv
Upendo tv
Capital tv
Plus tv
Dizzim tv
N.k
Ziko chanel no ngap