Hatimaye local channels zarudi king'amuzi cha DSTV

Hatimaye local channels zarudi king'amuzi cha DSTV

Warudishe ITV haraka sana tena pale pale ilipokuwa kwenye around namba 290+ siyo huko kwenye 380+. Infact ikirudi ITV ya tosha hata hizo nyingine zisiporudi poa tu
 
Wife huwa anaangalia channel mbili tu kwenye DSTV, Maisha Magic Bongo na ile EAST, sasa mimi nilikuwa nasingizia naenda kucheki taarifa ya habari ya ITV saa mbili narudi saa tatu na nusu, hapa ITV ikirudi sijui itakuaje.
~Lenye mwanzo halikosi mwisho
~Mungu amejibu maombi ya wife
~Njia ya muongo Ni fupi
~Mbio za sakafuni huishia ukingoni
 
Kama Sio DSTV Potezeaaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Clouds tv - 387
Channel 10 - 386

Nyingine zinakuja

Mwanzo tulisema hapa si waziri wala wananchi wanaoelewe hili jambo!
Swala hapa ni television husika yani FTA kuwa bure haijalishi una kifurushi au huna kifurushi ,kimekwisha au hakijakwisha!

Sasa kurudi lakini kifurushi kikiisha zinakata hii bado haina maana ya hoja na kusudi la waziri na wananchi kama waziri alielewe kile kilichokuwa kilio cha wananchi!

DSTV walikuwa nazo hizo channel na waliziondoa baada ya serikali kuwalazimisha kuwa channel ten,Clouds Tv,ITV,EATV na TBC 1 zioneshwe bure yani hata kama kifurushi kikikata basi hizo zibaki zinaonekana ndio maana wakaziondoa!

DSTV wamezitaka hizo kibiashara maana wateja wao nikiwemo mimi nilikuwa naziangalia japo kwa kulipia lakini serikali walitaka ziwe bure kabisa na wao DSTV wanazifanyia biashara na kwa hiyo hapa tukubali DSTV wameshinda na channel zitarudi lakini watazionesha kwa kulipia kupitia kifurushi lakini sio bure...

Hapa bado Nape hajafanikisha alicho kitaka na kupitia channel hizi DSTV atajizolea wateja wengi sana na bahati mbaya washindani wake walilalamika kuwa wao wamewekeza sana hivyo DSTV hana haki ya kuonesha FTA...hapo sasa


Ukweli ni kwamba DSTV hawatokubali kuonesha bure channel husika!
 
Mwanzo tulisema hapa si waziri wala wananchi wanaoelewe hili jambo!
Swala hapa ni television husika yani FTA kuwa bure haijalishi una kifurushi au huna kifurushi ,kimekwisha au hakijakwisha!

Sasa kurudi lakini kifurushi kikiisha zinakata hii bado haina maana ya hoja na kusudi la waziri na wananchi kama waziri alielewe kile kilichokuwa kilio cha wananchi!

DSTV walikuwa nazo hizo channel na waliziondoa baada ya serikali kuwalazimisha kuwa channel ten,Clouds Tv,ITV,EATV na TBC 1 zioneshwe bure yani hata kama kifurushi kikikata basi hizo zibaki zinaonekana ndio maana wakaziondoa!

DSTV wamezitaka hizo kibiashara maana wateja wao nikiwemo mimi nilikuwa naziangalia japo kwa kulipia lakini serikali walitaka ziwe bure kabisa na wao DSTV wanazifanyia biashara na kwa hiyo hapa tukubali DSTV wameshinda na channel zitarudi lakini watazionesha kwa kulipia kupitia kifurushi lakini sio bure...

Hapa bado Nape hajafanikisha alicho kitaka na kupitia channel hizi DSTV atajizolea wateja wengi sana na bahati mbaya washindani wake walilalamika kuwa wao wamewekeza sana hivyo DSTV hana haki ya kuonesha FTA...hapo sasa


Ukweli ni kwamba DSTV hawatokubali kuonesha bure channel husika!
Sure
 
Mimi ni 171 IDx, na kwenye geographic kile banged abroad.
Kunq ma channel flani pale uwa wanaonyesha mambo ya watu wanagombanisha robots uwa napenda kiasi. Na aljazeera pia
Ya marobot ni discovery family. Hapo ongezea na border patrol nazipenda.
 
Mwanzo tulisema hapa si waziri wala wananchi wanaoelewe hili jambo!
Swala hapa ni television husika yani FTA kuwa bure haijalishi una kifurushi au huna kifurushi ,kimekwisha au hakijakwisha!

Sasa kurudi lakini kifurushi kikiisha zinakata hii bado haina maana ya hoja na kusudi la waziri na wananchi kama waziri alielewe kile kilichokuwa kilio cha wananchi!

DSTV walikuwa nazo hizo channel na waliziondoa baada ya serikali kuwalazimisha kuwa channel ten,Clouds Tv,ITV,EATV na TBC 1 zioneshwe bure yani hata kama kifurushi kikikata basi hizo zibaki zinaonekana ndio maana wakaziondoa!

DSTV wamezitaka hizo kibiashara maana wateja wao nikiwemo mimi nilikuwa naziangalia japo kwa kulipia lakini serikali walitaka ziwe bure kabisa na wao DSTV wanazifanyia biashara na kwa hiyo hapa tukubali DSTV wameshinda na channel zitarudi lakini watazionesha kwa kulipia kupitia kifurushi lakini sio bure...

Hapa bado Nape hajafanikisha alicho kitaka na kupitia channel hizi DSTV atajizolea wateja wengi sana na bahati mbaya washindani wake walilalamika kuwa wao wamewekeza sana hivyo DSTV hana haki ya kuonesha FTA...hapo sasa


Ukweli ni kwamba DSTV hawatokubali kuonesha bure channel husika!
Mm kimsingi sitajali sana kama wataonyesha bure au lah, ila kama zitaonekana tu ntashukuru sana especially ITV. By the way unaishindwaje kulipa kifurushi kabisa hata cha elfu 9 kwa mwezi
 
Mm kimsingi sitajali sana kama wataonyesha bure au lah, ila kama zitaonekana tu ntashukuru sana especially ITV. By the way unaishindwaje kulipa kifurushi kabisa hata cha elfu 9 kwa mwezi

Hili swali wanatakiwa kuulizwa kwanza walioweka hiyo FTA ...halafu waulizwe wananchi wengine
 
Hili swali wanatakiwa kuulizwa kwanza walioweka hiyo FTA ...halafu waulizwe wananchi wengine
Jamaa ni wale wa kusema unashindwaje kulipia tozo ya shilingi 100 tu kwa muamala wa buku 10? Lipa bwana acha kulialia, yaani kuhoji jambo lifanyike kwa usahihi wanaita kulia lia
 
Back
Top Bottom